UNDENIABLE
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 2,326
- 1,314
Salaam waheshimiwa wabunge(wawakilishi wa watanzania)!
Waheshimiwa!
Mjadala huu naleta mbele ya BUNGE HURU LA WANAJAMIIFORUM. Hivyo yeyote atakayechangia au atakayesoma comments namwomba ajivishe cheo cha ubunge(uwakilishi wa watanzania).
Waheshimiwa wabunge!
Yamebaki takribani siku 4 tu tumalize huu mwaka wa 2013 na kuingia mwaka mwingine mpya 2014. Tukiwa kama wadau muhimu sana wa maisha ya taifa la tanzania, naombeni tufanye tathmini fupi fupi sana(tusichoshane na mithread mireeeeefu) kuhusu hali ya maisha ya watanzania mwaka 2013, na pia vipi dalili za mwaka 2014. Tusiache kugusa elimu, afya, uchumi(purchasing power), historia, siasa kwa ujumla wake, utendaji wa serikali ya Tanzania na maendeleo ya watanzania kwa ujumla wake.
Kwenye hii thread usimtaje member(mbunge) mwenzako kama mkuu, bali jivishe/mvishe uheshimiwa. Kwa mfano mimi nitatajwa mh UNDENIABLE badala ya mkuu UNDENIABLE
NB:
Tuweke uchadema na uccm pembeni. Tanzania kwanza vyama baadaye!
Ahsanteni , naomba kuwasilisha
UNDENIABLE
CC: Mzee Mwanakijiji, Pasco
MODS NAOMBENI ILE MICHANGO MIZURI KUTOKA KWA MEMBERS(WABUNGE) ZIUNGANISHWE ZIWE JUU HUKU MWANZONI MWA THREAD. AHSANTENI SANA.
Invisible, @Paw
Bunge hili litahairishwa tarehe 31.12.2013 saa 6:00 usiku
TAHADHARI:
HURUHISIWI KULETA MAMBO YA CHIT CHAT KWENYE HUU UZI. HAPA NI JUKWAA LA SIASA SIO CHIT CHAT
Kuelekea tathmini ya mwaka 2014. Naomba mnitumie PM kwa yeyote anaetaka kuwa mbunge wa jimbo fulani na chama chake, ama waziri wa wizara fulani. Ahsanteni sana!
Waheshimiwa!
Mjadala huu naleta mbele ya BUNGE HURU LA WANAJAMIIFORUM. Hivyo yeyote atakayechangia au atakayesoma comments namwomba ajivishe cheo cha ubunge(uwakilishi wa watanzania).
Waheshimiwa wabunge!
Yamebaki takribani siku 4 tu tumalize huu mwaka wa 2013 na kuingia mwaka mwingine mpya 2014. Tukiwa kama wadau muhimu sana wa maisha ya taifa la tanzania, naombeni tufanye tathmini fupi fupi sana(tusichoshane na mithread mireeeeefu) kuhusu hali ya maisha ya watanzania mwaka 2013, na pia vipi dalili za mwaka 2014. Tusiache kugusa elimu, afya, uchumi(purchasing power), historia, siasa kwa ujumla wake, utendaji wa serikali ya Tanzania na maendeleo ya watanzania kwa ujumla wake.
Kwenye hii thread usimtaje member(mbunge) mwenzako kama mkuu, bali jivishe/mvishe uheshimiwa. Kwa mfano mimi nitatajwa mh UNDENIABLE badala ya mkuu UNDENIABLE
NB:
Tuweke uchadema na uccm pembeni. Tanzania kwanza vyama baadaye!
Ahsanteni , naomba kuwasilisha
UNDENIABLE
CC: Mzee Mwanakijiji, Pasco
MODS NAOMBENI ILE MICHANGO MIZURI KUTOKA KWA MEMBERS(WABUNGE) ZIUNGANISHWE ZIWE JUU HUKU MWANZONI MWA THREAD. AHSANTENI SANA.
Invisible, @Paw
Bunge hili litahairishwa tarehe 31.12.2013 saa 6:00 usiku
TAHADHARI:
HURUHISIWI KULETA MAMBO YA CHIT CHAT KWENYE HUU UZI. HAPA NI JUKWAA LA SIASA SIO CHIT CHAT
Kuelekea tathmini ya mwaka 2014. Naomba mnitumie PM kwa yeyote anaetaka kuwa mbunge wa jimbo fulani na chama chake, ama waziri wa wizara fulani. Ahsanteni sana!