maganjwa
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 2,774
- 2,297
Habari za huu ndani wanajamvi?
Bunge hili natafakari sana linaweza kuwa Bunge la Tanzania mpya au Bunge la Tanzania ya giza nene
Kwa sababu ni bunge lisilo na upinzani linaweza kuwa bunge la mfano kwa kuleta maendeleo kwa kasi kwa kuwa bajeti haitasumbua na hakuna kelele lakini pia linaweza kuwa Bunge la kuwapoteza watanzania kwa kuwa ni Bunge lisilo na changamoto ni ndiyo tu na kuwa mtia muhuri wa Serikali
Ni maoni yangu tu
Wanajamvi mnasemaje?
Bunge hili natafakari sana linaweza kuwa Bunge la Tanzania mpya au Bunge la Tanzania ya giza nene
Kwa sababu ni bunge lisilo na upinzani linaweza kuwa bunge la mfano kwa kuleta maendeleo kwa kasi kwa kuwa bajeti haitasumbua na hakuna kelele lakini pia linaweza kuwa Bunge la kuwapoteza watanzania kwa kuwa ni Bunge lisilo na changamoto ni ndiyo tu na kuwa mtia muhuri wa Serikali
Ni maoni yangu tu
Wanajamvi mnasemaje?