Bunge halijatenda haki kutowasilisha muswada wa Bima ya Afya kwa wote

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,053
28,245
Naendelea kushangaa juu ya kigugumizi cha wabunge juu ya muswada huu muhimu unahusu afya za watanzania. Hili ni jipu la muda mrefu sana lenye kuhitaji tiba.

Siku za nyuma Serikali imekuwa inakwepa kuwasilisha muswada huu bungeni. Hata hivyo vision ya Rais Samia ilikuwa ni kuwasilisha muswada huu bungeni ili kupata suluhisho la namna bora ya uwezeshaji endelevu wa kifedha katika sekta ya afya. Kukwama kwa uwasilishaji muswada huu ni hasara kwa Taifa kwani katika kipindi kisichopungua mwaka mmoja sekta ya Afya kupitia wizara na wadau wamewekeza sana katika kujadili na kuja na muswada huu.

Ikumbukwe kuwa Sekta ya afya imeendelea kupitia wakati mgumu kwa kushindwa kujiendesha ipasavyo. Ikumbukwe kuwa bado bajeti ya sekta ya afya haijafikia azimio la abuja linalotaka Serikali kuwekeza 15% ya kipato chake kwenye maswala ya afya ili kuwa na sekta imara ya afya itakayojibu matakwa ya malengo ya milenia na malengo endelevu.

Bado sekta ya afya nchini inabakia kuwa ni sekta ya hisani ya watu wa Marekani n.k.

Bunge limehairisha bila kutaja ni lini haswa muswada huu utawasilishwa tena. Bunge limerejesha suala hili kwenye kamati ambayo imelikwamisha despite ushauri wa wataalamu ...Hili sio sawa. Hatuwezi kuwa na subira zisizo kikomo kungojea suala hili miaka nenda miaka rudi, ni muhimu kufikia maamuzi.

Bunge lina wajibu sasa wa kutueleza wananchi, wataalamu, Serikali, wadau ni namna gani tunahakikisha kuwa health sector financing itafanyika katika kipindi kingine cha kusubiri.
Nimpongeze Waziri Ummy kwa ujasiri wa kuzingatia maelekezo ya Mhe.Rais wa JMT Samia Suluhu Hassan na kuandaa, kushirikisha na hatimaye kuwasilisha muswada huu hadi hatua iliyofikiwa.

Je Bunge kupitia kamati limekwamisha utekelezaji wa Ilani ya CCM Kifungu 83(e)????

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
 
Naendelea kushangaa juu ya kigugumizi cha wabunge juu ya muswada huu muhimu unahusu afya za watanzania.
Hili ni jipu la muda mrefu sana lenye kuhitaji tiba.
Siku za nyuma Serikali imekuwa inakwepa kuwasilisha muswada huu bungeni.Hata hivyo vision ya Rais Samia ilikuwa ni wa Marekani n.k.

kiwa.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Acha ujinga hujui unachokitetea unadhani watanzania kipato Cha kulipa bima
 
Wakati fulani siasa huwa haitendi haki, hili ni wazo la miaka mingi.Lakini pia kama hawajausoma ilibidi zitolewe sababu ili wananchi tujue sababu.

Lkini pia kama wataalamu hawajawaelimisha vizuri basi waendeshe semina kwa Wah.Wabunge na waulize maswali ili kuondoa dukuduku lao.
 
Wakati fulani siasa huwa haitendi haki, hili ni wazo la miaka mingi.Lakini pia kama hawajausoma ilibidi zitolewe sababu ili wananchi tujue sababu.

Lkini pia kama wataalamu hawajawaelimisha vizuri basi waendeshe semina kwa Wah.Wabunge na waulize maswali ili kuondoa dukuduku lao.
nilimuona Dr Janabi akiwaelimisha kamati ya bunge kwa kina na ufasaha lakini imeonekana ni pumba...so sad !!
 
Wao hawapo tayari kupunguziwa posho wala pensheni kwa ajili ya bajeti ya bima ya afya kwa wote
 
Naendelea kushangaa juu ya kigugumizi cha wabunge juu ya muswada huu muhimu unahusu afya za watanzania. Hili ni jipu la muda mrefu sana lenye kuhitaji tiba.

Siku za nyuma Serikali imekuwa inakwepa kuwasilisha muswada huu bungeni. Hata hivyo vision ya Rais Samia ilikuwa ni kuwasilisha muswada huu bungeni ili kupata suluhisho la namna bora ya uwezeshaji endelevu wa kifedha katika sekta ya afya. Kukwama kwa uwasilishaji muswada huu ni hasara kwa Taifa kwani katika kipindi kisichopungua mwaka mmoja sekta ya Afya kupitia wizara na wadau wamewekeza sana katika kujadili na kuja na muswada huu.

Ikumbukwe kuwa Sekta ya afya imeendelea kupitia wakati mgumu kwa kushindwa kujiendesha ipasavyo. Ikumbukwe kuwa bado bajeti ya sekta ya afya haijafikia azimio la abuja linalotaka Serikali kuwekeza 15% ya kipato chake kwenye maswala ya afya ili kuwa na sekta imara ya afya itakayojibu matakwa ya malengo ya milenia na malengo endelevu.

Bado sekta ya afya nchini inabakia kuwa ni sekta ya hisani ya watu wa Marekani n.k.

Bunge limehairisha bila kutaja ni lini haswa muswada huu utawasilishwa tena. Bunge limerejesha suala hili kwenye kamati ambayo imelikwamisha despite ushauri wa wataalamu ...Hili sio sawa. Hatuwezi kuwa na subira zisizo kikomo kungojea suala hili miaka nenda miaka rudi, ni muhimu kufikia maamuzi.

Bunge lina wajibu sasa wa kutueleza wananchi, wataalamu, Serikali, wadau ni namna gani tunahakikisha kuwa health sector financing itafanyika katika kipindi kingine cha kusubiri.
Nimpongeze Waziri Ummy kwa ujasiri wa kuzingatia maelekezo ya Mhe.Rais wa JMT Samia Suluhu Hassan na kuandaa, kushirikisha na hatimaye kuwasilisha muswada huu hadi hatua iliyofikiwa.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!

Naendelea kushangaa juu ya kigugumizi cha wabunge juu ya muswada huu muhimu unahusu afya za watanzania. Hili ni jipu la muda mrefu sana lenye kuhitaji tiba.

Siku za nyuma Serikali imekuwa inakwepa kuwasilisha muswada huu bungeni. Hata hivyo vision ya Rais Samia ilikuwa ni kuwasilisha muswada huu bungeni ili kupata suluhisho la namna bora ya uwezeshaji endelevu wa kifedha katika sekta ya afya. Kukwama kwa uwasilishaji muswada huu ni hasara kwa Taifa kwani katika kipindi kisichopungua mwaka mmoja sekta ya Afya kupitia wizara na wadau wamewekeza sana katika kujadili na kuja na muswada huu.

Ikumbukwe kuwa Sekta ya afya imeendelea kupitia wakati mgumu kwa kushindwa kujiendesha ipasavyo. Ikumbukwe kuwa bado bajeti ya sekta ya afya haijafikia azimio la abuja linalotaka Serikali kuwekeza 15% ya kipato chake kwenye maswala ya afya ili kuwa na sekta imara ya afya itakayojibu matakwa ya malengo ya milenia na malengo endelevu.

Bado sekta ya afya nchini inabakia kuwa ni sekta ya hisani ya watu wa Marekani n.k.

Bunge limehairisha bila kutaja ni lini haswa muswada huu utawasilishwa tena. Bunge limerejesha suala hili kwenye kamati ambayo imelikwamisha despite ushauri wa wataalamu ...Hili sio sawa. Hatuwezi kuwa na subira zisizo kikomo kungojea suala hili miaka nenda miaka rudi, ni muhimu kufikia maamuzi.

Bunge lina wajibu sasa wa kutueleza wananchi, wataalamu, Serikali, wadau ni namna gani tunahakikisha kuwa health sector financing itafanyika katika kipindi kingine cha kusubiri.
Nimpongeze Waziri Ummy kwa ujasiri wa kuzingatia maelekezo ya Mhe.Rais wa JMT Samia Suluhu Hassan na kuandaa, kushirikisha na hatimaye kuwasilisha muswada huu hadi hatua iliyofikiwa.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Nyinyi wapuuzi ndo mmechangia,kutwa mkawa mnaponda humu na kumtukana na rais kuwa huo mswada au ilo suala la bima ni la ovyo, saizi tena mnalaumu kuwa bunge kwann limeghailisha kusoma huo mswada, kkenge nyie
 
Nyinyi wapuuzi ndo mmechangia,kutwa mkawa mnaponda humu na kumtukana na rais kuwa huo mswada au ilo suala la bima ni la ovyo, saizi tena mnalaumu kuwa bunge kwann limeghailisha kusoma huo mswada, kkenge nyie
Wewe ndiye umpuuzi usiyependa kusoma kwa kina...ni lini na wapi mimi jingalao nimefanya hilo??
 
Kama jambo la vitambulisho vya utaifa ni bure na limekua na changamoto hivyo. Vipi swala la bima kupitia vitambulisho tena vya kulipia.

Kama kulipia kodi ya majengo ilikua ngumu kupitia kujitolea hadi ikaletwa kwa ruki vipi swala la bima ya afya.

Kuna watu ni watanzania ila taarifa za utanzania wao hazijulikani.
 
Kama jambo la vitambulisho vya utaifa ni bure na limekua na changamoto hivyo. Vipi swala la bima kupitia vitambulisho tena vya kulipia.

Kama kulipia kodi ya majengo ilikua ngumu kupitia kujitolea hadi ikaletwa kwa ruki vipi swala la bima ya afya.

Kuna watu ni watanzania ila taarifa za utanzania wao hazijulikani.
Hoja ni namna ya kufinance sekta ya afya...
options
1-Itolewe bure(100%)
2-Ichangiwe na Serikali na mwananchi.
3-Ichangiwe kupitia bima ya afya kwa wote

ni lazima tuwe na uamuzi
 
Hujui unachochangia na chanzo chake ...chukua muda kujifunza
Bunge limemsaidia sana Mh. Rais kuchonganishwa na raia, acheni tamaa zenu na kusahau kuwa watanzania bado ni masikini wa kipato...Leo uwalazimishe watu badala ya kuwawezesha mnafikiri raia wanafurahia kutoa tozo? Bado hilo halijaisha mnataka muongeze tena ugomvi kwa raia kuwaamuru watoe pesa zakulipia bima?
Hilo jambo siyo la kukurupuka acha wataalamu waliweke vizuri ili kweli mtanzania afurahie anachopewa na serikali yake na siyo kulazimisha
 
Hoja ni namna ya kufinance sekta ya afya...
options
1-Itolewe bure(100%)
2-Ichangiwe na Serikali na mwananchi.
3-Ichangiwe kupitia bima ya afya kwa wote

ni lazima tuwe na uamuzi
Hakuna mahali mtu anasema itolewe bure ila hizo fedha zinapatikanaje ili isiwe mzigo kwa raia wa kawaida?
 
Back
Top Bottom