mtokambali'z
New Member
- Sep 9, 2011
- 2
- 0
Ama kweli hali ni tete kwa viongozi wa afrika na wanaharakati!!! Hii ni baada ya wanaharakati wa vyama vya upinzani uganada kuamaua kufanya mkutano wa kuadhimisha mapinduzi ya nchi za africa kaskazini tunisia, Misri na libya kwa madai kuwa yanayotokea huko ndiyo wanayotakiwa kuyafanya hata wao kwani hata musen ni dictator, hivyo wameapa kupambana na kuhakikisha wanamng'oa dictator huyo.
Ijapo mkutano huo ulivunjwa na police kwa madai uwanja wa mkutano haukuwa halali na ulikuwa kwenye barabara kuu.
source BBC News!!!!
Ijapo mkutano huo ulivunjwa na police kwa madai uwanja wa mkutano haukuwa halali na ulikuwa kwenye barabara kuu.
source BBC News!!!!