Oloronyo
Member
- Mar 29, 2009
- 80
- 9
Habari za uhakika nilizozipata kutoka katika chanzo cha kueleweka ni kuwa yule Bosi wa huduma kwa wateja Bw.Darren Harris amesitishwa mkataba wake huku mabadiliko makubwa yakiwa yanatarajiwa kufanyika haswa katika suala la kupangilia vitengo yaani reformation.
Chanzo hicho kilibainisha kuwa hakijashangazwa na uamuzi wa menejimenti ya Zantel kufikia maamuzi hayo ambayo inadaiwa yamechelewa, kwani Bw.Harris alikuwa yupo yupo tu haijulikani anafanya nini? Nani anaripoti kwake? Na tabia yake ya Ulevi wa kupindukia.
Chanzo hicho kilibainisha kuwa hakijashangazwa na uamuzi wa menejimenti ya Zantel kufikia maamuzi hayo ambayo inadaiwa yamechelewa, kwani Bw.Harris alikuwa yupo yupo tu haijulikani anafanya nini? Nani anaripoti kwake? Na tabia yake ya Ulevi wa kupindukia.