Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,831
- 38,720
- Thread starter
- #61
Inaelekea umezoea sana hiyo michezoUkivimbiwa Unaweza Kuj*mba Hovyo Ndiyo Utopolo
Inaelekea umezoea sana hiyo michezoUkivimbiwa Unaweza Kuj*mba Hovyo Ndiyo Utopolo
Utapoa mwenyew sis hatuna harka ongozeni ligi mwisho wa msimu tunafanya kama msimu ulioishaHahahaha Mwaka huu mtaokota makopo,ndio kwanza mna match mbili lakini akili zishawaruka tayari.
Kafanya vizuri, kuwa msemaji wa timu ambayo haiwezi kupiga pasi tu zilizokamilika ni shida sana.Katika kile kinachoelezwa hali si shwari ndani ya Club ya Simba,inaelezwa Msemaji wa timu hiyo ndugu Ezekiel Kamwaga ameamua kukaa pembeni kuendelea na majukumu yake ndani ya club hiyo. Tukio hili linatokea Ikiwa haijapita hata wiki moja tangu kujiuzulu nafasi ya Mwenyeketi wa Bodi wa timu hiyo MO Dewji. Sababu za kamwaga kubwanga manyanga bado hazijawekwa wazi ila za ndani zinasema kuwa amechoshwa kupelekeshwa na mtendaji mkuu wa timu hiyo. Alipoulizwa Mwenyekiti wa Simba ndugu Mangungu kuhusiana na taarifa hizi amesema watalitoea tamko hapo baadae.
Hizi sio enzi za Jiwe na Bashite wake, mpaka mkafikia hatua ya kukufuru eti mtachukua ubingwa mpaka Kayafa atakapoondoka madarakani. Na Mungu wa ukweli kasikia sala yenu akamuondoa Kayafa,sasa mnaanza kulialia huku mkisahau ni nyinyi wenyewe ndio mlioweka hayo maagano.Utapoa mwenyew sis hatuna harka ongozeni ligi mwisho wa msimu tunafanya kama msimu ulioisha
Hamkawii kukimbiana humu
Nyie ndio wa kwanza kuchukua ubingwa mara NNE mfululizo?Wanjiru kama wanjiru kutoka kisii kenya. Unateseka sana kuhusu Mabingwa wa nchi mara 4 mfululozooo
Acha utakataka, Kamwaga alikuwa na mkataba wa miezi 2 na ilielezwa wazi na timu na yeye mwenyewe tangu anaingia.Katika kile kinachoelezwa hali si shwari ndani ya Club ya Simba,inaelezwa Msemaji wa timu hiyo ndugu Ezekiel Kamwaga ameamua kukaa pembeni kuendelea na majukumu yake ndani ya club hiyo. Tukio hili linatokea Ikiwa haijapita hata wiki moja tangu kujiuzulu nafasi ya Mwenyeketi wa Bodi wa timu hiyo MO Dewji. Sababu za kamwaga kubwanga manyanga bado hazijawekwa wazi ila za ndani zinasema kuwa amechoshwa kupelekeshwa na mtendaji mkuu wa timu hiyo. Alipoulizwa Mwenyekiti wa Simba ndugu Mangungu kuhusiana na taarifa hizi amesema watalitoea tamko hapo baadae.
Akili za fisiHii timu hi mwaka huu timu nyingine zitajipgia
Hii timu msimu itashinda kwa kutegemea tu huruma za mwamuzi kupitia penati au kadi nyekundu.Hii timu hi mwaka huu timu nyingine zitajipgia
Wewe unaona tupo imara? Jana lile goli la kagere yani watu tuliruka nusu tuvunje vitu tumekua na ukame wa magoli wewe unaona tuna maisha marefu kweli, ngoja muda ndiyo utaamua
Sent using Jamii Forums mobile app
Na bado,mtatia sana huruma msimu huu. Hii mpaka Samia atoke madarakani.
Ishara za ukamee unazijua, ni sawa sawa upo jangwani umekaa siku30 bila maji ukaona maji hata machafu utakunywa tu, mjifunze kukubali tuko wadhaifu msimu mgumu huu kila timu imejianda
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuondoa rasmi kwenye kundi la mbumbumbu alilolisema Rage
Una hasira na mimi badala kuwa na hasira na matokeo,Hapana Simba siyo Dhaifu,dhaifu ni Wewe na Utopolo wenzio mliopogwa nnje ndani CL tena hatua za awali kabisa
Mtachukua ubingwa Siku Mama Samia anaondoka madarakani. Kabla ya hapo sahauni kabisa.Hii timu msimu itashinda kwa kutegemea tu huruma za mwamuzi kupitia penati au kadi nyekundu.
Kinyume na hapo, ni kipigo tu. Hakuna namna.
Kwani matokeo ya simba Yana shida gani na ya kwako ni mazuri kiasi gani ambayo tayari unaona utachukua ubingwa.
Matokeo ya Simba hayana tatizo kabisa,tukuulize Wewe Utopolo matokeo ya Yanga CL yakoje?
Umerizika mwenyewe nyie ndiyo wale mnaoweza mkapata mshahara wa mwezi mmoja na ukaacha kazi ni shortsighted fellasKwani matokeo ya simba Yana shida gani na ya kwako ni mazuri kiasi gani ambayo tayari unaona utachukua ubingwa.
Mwaka Jana Misukule iliongoza ligi miezi 3,na mlifungwa mechi 2 tu lkn ubingwa mliusikia tu.
Mngekuwa na utamaduni au uwezo wa kushinda goli hata mbili mngejisifu sana.
USHAURI: UTOPOLO WEKENI AKIBA YA MANENO LIGI NDIYO IMEANZA.
(Simba hakuna shida yyte bali ni kipindi cha mpito tu ......kwa wanaojua mpira wananielewa)
NYIE NI WANANCHI SISI NI WENYE NCHI!