mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA)leo knazindua Kampeni zake na Tayari Wapo Njiani kwa Maandamano Makubwa wakiwa na Mgombea Udiwani wa Kata ya Nyasura ndugu Magambo Wassira,Kampeni zikiongozwa na MH mbunge wa Musoma Vincent Nyerere.
Pia yupo Mzee mkakamavu Muhoja Kasulumbayi mbunge wa Maswa na Makamanda Wengine,Watu ni wengi sana nategemea picha zitapandishwa baadae..CCM wameahirisha kuzindua Leo kwa hofu ya Kukosa Watu.
Nawasilisha.
Pia yupo Mzee mkakamavu Muhoja Kasulumbayi mbunge wa Maswa na Makamanda Wengine,Watu ni wengi sana nategemea picha zitapandishwa baadae..CCM wameahirisha kuzindua Leo kwa hofu ya Kukosa Watu.
Nawasilisha.