Wanabodi Salaam!
Sina maneno mengi tazameni huu mtiti halafu Magufuli anasema anaweza kuua Upinzani Tanzania,
#Tunataka Tume Huru ya Uchaguzi
View attachment 1366552View attachment 1366553View attachment 1366554
View attachment 1366555
View attachment 1366556View attachment 1366557
Kwa wakati mgumu hivi hata kama tumepishana siasa ni vizuri kuwa support wanawake hasa vijana ambao hawafati mkumbo tu. Tanzania bado tunataka wanawake zaidi. Ukiangalia vizuri hata Chadema yenyewe wanawake ndiyo wanajua vitu zaidi, wasomi zaidi na wana impact kuliko hata wanaume. Chadema walimweka Dr yule katibu badala ya hawa madada majembe.