Huyo Ng'ombe amekuwa promoted na mashabiki wa Simba bila kujua.Saaaalam Wana JF....nawasalumu kwa jina la TFF
Msimu huu wa ligue kuu umeshuhudiwa kwa uwepo wa wachezaji wakali ndani ya ligue kuu Tanzania bara maarufu Kama NBC PREMIER LIGUE....kutoka timu ya YANGA maarufu Kama wananchi.....kwa wanaojua mpira ...wataona kuwa yanga ndio timu yenye wachezaji Bora kuliko timu yeyote hapa bongo......
Fact
Ng'ombe aliyepewa mshambuliaji hatari Tanzania na barani Africa pia dunian kwa Ujumla FISTON MAYELE ametokea kuwa maarufu kuliko hata wasemaji wa timu zingine hapa bongo....... Mfano wasemaji wa Simba,. Mtibwa,. Kagera. Dodoma jiji. Prison,. Namungo. Azam. Na zinginezo.......
Source ...... Professor Bumbuli
Afisa habar wa YANGA
Je unakubaliana na hili?View attachment 2164789
Dah! Utaua mtu wewe.Tofauti ya Mbumbuli na uyo Ng'ombe ni kwamba Mbumbuli yeye uingia chooni na kujitawaza lkn akili ya kufikiria wamelingana so hkna cha ajabu hpo
Amesha nenepa tayari kuuzwaNg'ombe yuko kwenye diet yule.