MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,011
- 6,542
Watz wanaasila kweli ,wasubir kwanza!!!Hao wananchi hawajielewi
Watz wanaasila kweli ,wasubir kwanza!!!Hao wananchi hawajielewi
Ndo utaelewa sasa. "Hajasajiliwa" ila amekuwa akichimba miaka nenda rudi na anasafirisha pure gold nje ya Nchi. Sasa analindwa kwa mitutu ya bunduki.Si wanasema muwekezaji hajasajiliwa
WELL SAID.. HASA KWA KUWEKA CCM NAMBARI ONE..Ha ha ha ha
Hiyo ndiyo ccm, walidhani watachimba?
Huo uchokozi wapigwe tu wananchi wetu wanadanganywa na wenye uwezo wa kukata leseni ili ionekane mwekezaji kawaonea leseni yake ifutweHii imetokea siku ya leo asubuhi ambapo baadhi ya wananchi kwenda kuchimba katika eneo la NAMBA 2 ambalo lipo karibu na mgodi wa ACACIA Bulyanhulu wilayani Kahama.
Mamia ya vijana,wazee na akina mama walionekana kumiminika katika eneo hilo na kuanza kuchimba huku wakiimba nyimbo za kumsifu Rais Magufuli kwa maamuzi aliyoyachukua dhidi ya ACACIA! Wananchi hao walisikika wakisema "Haiwezekani kila sie tunapogundua tunafukuzwa eti ni eneo la ACACIA, kumbe nae hana leseni kama sisi, asante Magufuli"!
Wakati wakiendelea na kuchimba gari za POLISI zipatazo tatu zikiwapo na gari za ACACIA zilifika katika eneo hilo na kuanza kupiga mabomu hali ilisababisha na kutawanyika kwa wachimbaji hao.
Kwa mujibu wa polisi wanadai hawaruhusu mtu kuchimba katika eneo hilo kwani ni eneo la mwekezaji!
Nani huyo aliekuambia hana leseni?kachimbe ww uone km hujafumuliwa risasi ya matakoSi wanasema muwekezaji hajasajiliwa
Km hana leseni ilikuwaje kuwaje mpaka anachimba dhahabu?Mwekezaji asiye na leseni..
da huyu siwametutangazia hau lesen wala hajasajiliwa ? Au hatukusikia jana aseee
Tupo,,ni kwamba hatutaki yatokee kama ya mgabe tunataka tulambe kwanza trions zetu hatua ingine itafuata sasa watz wasubir kidogo!!!mbona team .......siioni uwanjani hapa? njooni bwana mnachungulia tu na kusepa?
hebu toa maoni yako basi kuhusu mada husikaTupo,,ni kwamba hatutaki yatokee kama ya mgabe tunataka tulambe kwanza trions zetu hatua ingine itafuata sasa watz wasubir kidogo!!!