sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,014
- 8,363
''Ukizungumzia watu walio uvuruga umoja wa wazazi ni Mzee Bulembo na wengine, ukampeni meneja wake kwa Mzee Magufuli aliununua kwa pesa nyingi Ili kuficha uchafu wake'' ni kauli ya mwana ccm kindaki ndaki ambae alikuwa kwenye team iliyokwenda kuchunguza na kurudisha Mali A ccm."
""Sasa Magufuli katika uhai wake hakupenda kabsa kukorofishana na Bulembo kwa sababu alipewa taarifa nyeti jinsi alivyonunua nafasi ya ukampeini meneja Ili kujiweka karibu na Waridi, na hata baada ya uchaguzi wapo walio mtaka Magufuli ampe Ubalozi Bulembo ok la Magufuli alikataa kwa sababu alijua kabisa sio msafi," Alichokifanya mwendazake ni kumpa nafasi ya ubunge tu."
"Na pia Ili hasipotee alimpa na maanae nafasi,ya ubunge tatzo likatokea Binti ake akaingia bungeni akaishia kuwa mtafunwaji na wapinzani akiweko zitto kabwe Mzee magu akauzika."
"Sasahivi Bulembo anajitokeza kumnanga Bashiru kwa kosa gani? Ni kweli tulimfata arudishe shule aliyojiuzia yeye na wenzake, na hakujibu alivyosema kama ana ushaidi autoe hapa haache porojo zake"
"Sasa ninakwambia Mwandishi, yeye anadhani kifo Cha Magufuli basi ndo wanarudi barabarani anajindangaya yeye na wenzake, wanajidanganya. Nchii sio chama pekee tulipokuwa tumefikishwa na Mzee Magufuli wenye nchi walishajua ukweli ni upi."
"Bulembo na genge lake, wakina Nape, Makamba, na wazee baadhi wanajidanganya, wewe uoni hujuma ya Makamba kupitia Tanesco? Huoni maneno ya mwiguru dhidi ya deni la Taifa? Hivi Magufuli alikopeshwaje na watu alio watusi kira siku? Hizo ni ujuma!"
"Hivi wakimkopeshaje wakati haendi kwao?mawaziri wenyewe walisafiri under permit yake, kama ni kweli alikopa watuoneshe mikataba ya mikopo aliyoisaini mbona Yao wanaonesha watuoneshe aliyosaini Haina tofauti na ya kwao wanayosaini. Watuoneshe waache porojo"
"Mimi narudia labda nife, lakini nikiwa hai Bulembo hata kama sio leo katika utawala huu wa Samia wowote, ule Mali ambazo aliziuza enzi za uongozi wake atazitapika na angekuwepo mwendazake Bulembo usingemsikia kamwe."
''Bulembo sio wa kuongea,ni kibaka kama vibaka wengine, mtoto wa mjini Sanaa mhaya yule nashangaa hata Magufuli ubunge alimpa wa Nini ilihalii akijua ni miongoni mwa mafisadi Bapa''
''Sasa Mimi nasema akiendelea kumnga Bashiru Cha Moto atakipata'
Ili andiko sio maneno ya sifi leo ni maneno ya mwanaccm kindaki ndaki aliyekuwepo kwenye kamati ya uchunguzi wa Mali za ccm, naomba kuwakilisha.
""Sasa Magufuli katika uhai wake hakupenda kabsa kukorofishana na Bulembo kwa sababu alipewa taarifa nyeti jinsi alivyonunua nafasi ya ukampeini meneja Ili kujiweka karibu na Waridi, na hata baada ya uchaguzi wapo walio mtaka Magufuli ampe Ubalozi Bulembo ok la Magufuli alikataa kwa sababu alijua kabisa sio msafi," Alichokifanya mwendazake ni kumpa nafasi ya ubunge tu."
"Na pia Ili hasipotee alimpa na maanae nafasi,ya ubunge tatzo likatokea Binti ake akaingia bungeni akaishia kuwa mtafunwaji na wapinzani akiweko zitto kabwe Mzee magu akauzika."
"Sasahivi Bulembo anajitokeza kumnanga Bashiru kwa kosa gani? Ni kweli tulimfata arudishe shule aliyojiuzia yeye na wenzake, na hakujibu alivyosema kama ana ushaidi autoe hapa haache porojo zake"
"Sasa ninakwambia Mwandishi, yeye anadhani kifo Cha Magufuli basi ndo wanarudi barabarani anajindangaya yeye na wenzake, wanajidanganya. Nchii sio chama pekee tulipokuwa tumefikishwa na Mzee Magufuli wenye nchi walishajua ukweli ni upi."
"Bulembo na genge lake, wakina Nape, Makamba, na wazee baadhi wanajidanganya, wewe uoni hujuma ya Makamba kupitia Tanesco? Huoni maneno ya mwiguru dhidi ya deni la Taifa? Hivi Magufuli alikopeshwaje na watu alio watusi kira siku? Hizo ni ujuma!"
"Hivi wakimkopeshaje wakati haendi kwao?mawaziri wenyewe walisafiri under permit yake, kama ni kweli alikopa watuoneshe mikataba ya mikopo aliyoisaini mbona Yao wanaonesha watuoneshe aliyosaini Haina tofauti na ya kwao wanayosaini. Watuoneshe waache porojo"
"Mimi narudia labda nife, lakini nikiwa hai Bulembo hata kama sio leo katika utawala huu wa Samia wowote, ule Mali ambazo aliziuza enzi za uongozi wake atazitapika na angekuwepo mwendazake Bulembo usingemsikia kamwe."
''Bulembo sio wa kuongea,ni kibaka kama vibaka wengine, mtoto wa mjini Sanaa mhaya yule nashangaa hata Magufuli ubunge alimpa wa Nini ilihalii akijua ni miongoni mwa mafisadi Bapa''
''Sasa Mimi nasema akiendelea kumnga Bashiru Cha Moto atakipata'
Ili andiko sio maneno ya sifi leo ni maneno ya mwanaccm kindaki ndaki aliyekuwepo kwenye kamati ya uchunguzi wa Mali za ccm, naomba kuwakilisha.