johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,599
- 141,415
Mbunge wa kuteuliwa mstaafu alhaj Bulembo amesema hana mkwe anayeitwa Zitto na kwamba " wao" wanafanya starehe zao vichakani hivyo hawezi kuwa mkwe katika familia yake.
Alhaj Bulembo alikuwa akijibu swali la mtangazaji wa Clouds 360 aliyetaka kujua kama Halima Bulembo ni mke wa Zitto na familia imebariki.
Chanzo: Clouds TV
Pia soma - Elections 2020 - Bulembo aahidi kumng'oa Zitto Kabwe kwa udi na uvumba
Maendeleo hayana vyama!