Bulembo keshamrithi Kinana?

Kidamva

JF-Expert Member
Dec 3, 2013
2,581
1,981
Tangu Katibu Mkuu wa CCM

'alipotumwa' kwenda kutibiwa India, naona ameshindwa kujitokeza hadharani ukiondoa siku ya mazishi ya watoto wa Luck Vincent Arusha tu.

Enzi za Kikwete, Kinana alikuwa active na akizunguka mikoani kuimarisha chama.
Lakini siku hizi nafasi imechukuliwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa wazazi Abdallah Bulembo (MB) anayefanya ziara mikoani na kutoa maamuzi mazitozito.

Ziara za Bulembo zinapewa uzito kuliko hata Naibu Katibu Mkuu Bara, Mpogoro ambaye hata hasikiki.

Kwanini Bulembo anapewa uzito hivyo wakati hayumo hata kwenye sekretarieti? Je, Kinana amepigwa chini kimyakimya? Au amesusa?
Nawasilisha.
 
Nlimsikia akiwa star tv tuongee asubuhi,hajui jina la mkuu wa mkoa wa kili!duh sifa zingine .kwamba yeye ni mtu mzito sana asimjue vema mgombea urais
 
Yeye mwenyewe anahunir mtu mmoja atakuje mbunge /mwenyekiti wa wazazi na katibu mkuu??
 
Yeye mwenyewe anahunir mtu mmoja atakuje mbunge /mwenyekiti wa wazazi na katibu mkuu??
Sasa mbona anahubiri nafasi moja ya uongozi? Au amesahau kuwa yeye anazo zaidi ya moja? Na huyo mwenyekiti wake mwenye vyeo lukuki alivyokuwa anauaznisha mfumo huo alijisahau?
Wakati mwingine shetani anawamislead kwa kumkosea yeye na sio Mungu!
 
Mkuu hili swali kwanini usingeliuliza kwenye vikao vya chama?..huu ni utovu wa nidhamu!
 
Hahahaha umepata WiFi au Shemeji!
WiFi mkuu

Nilikuwa Lumumba last week kuna kijana mmoja alilalamika sana kitendo cha mnyange huyo kuzimika kwa mpinzani mpaka kubeba mimba,

Alilaani na analaani sana kitendo hicho, anadai ccm kuna vijana wengi wasomi na wenye pesa iweje ? Nilicheka sana

Hakika nimefurahi, namshauri akijifungua tu, baada ya 40 abebe nyingine
 
WiFi mkuu

Nilikuwa Lumumba last week kuna kijana mmoja alilalamika sana kitendo cha mnyange huyo kuzimika kwa mpinzani mpaka kubeba mimba,

Alilaani na analaani sana kitendo hicho, anadai ccm kuna vijana wengi wasomi na wenye pesa iweje ? Nilicheka sana

Hakika nimefurahi, namshauri akijifungua tu, baada ya 40 abebe nyingine

Duh!Hivi mapenzi yana Chama ndugu.Ngoja tusubiri Wifi ajifungue tumpelekee zawadi.
 
Tangu Katibu Mkuu wa CCM

'alipotumwa' kwenda kutibiwa India, naona ameshindwa kujitokeza hadharani ukiondoa siku ya mazishi ya watoto wa Luck Vincent Arusha tu.

Enzi za Kikwete, Kinana alikuwa active na akizunguka mikoani kuimarisha chama.
Lakini siku hizi nafasi imechukuliwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa wazazi Abdallah Bulembo (MB) anayefanya ziara mikoani na kutoa maamuzi mazitozito.

Ziara za Bulembo zinapewa uzito kuliko hata Naibu Katibu Mkuu Bara, Mpogoro ambaye hata hasikiki.

Kwanini Bulembo anapewa uzito hivyo wakati hayumo hata kwenye sekretarieti? Je, Kinana amepigwa chini kimyakimya? Au amesusa?
Nawasilisha.
Kinana yupo anafanya kazi zake.CCM ni chama chenye taratibu zake,Bulembo ni mwenyekiti wa wazazi anazunguka kuimarisha jumuiya ya wazazi kwa ajili ya chaguzi za serikali ya mitaa 2019,nyie endeleeni tu na siasa za matukio
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom