Wakafanye mikutano ya ndani hawakatazwi na haijawahi kukatazwa. Juzi wamefanya mkutano Mkubwa wa kitaifa wa baraza kuu Dodoma mbona hawakukatazwa? Halikadhalika sumaye alikuwa mbeya juzi kwenye mahafali ya ya vijana wa chadema Hawakuzuiwa.Unajua tofauti ya serikali na chama?? Kwani chadema hawana majimbo na halmashauri ambazo wanatakiwa kuhimiza utendaji kazi maana zipo chini yao????? Au misingi ni ccm tu