Watu wenye akili sawa sawa hawawez kukubal kiendeshwa na mtu mwenye zero
Watu wenye akili sawa sawa hawawez kukubal kiendeshwa na mtu mwenye zero
Hivi mkurugenzi wa ulinzi na usalama wa CHADEMA si LWAKATARE???
Hicho cheo mbona kipya??? Haaaaaa
Halafu si Kuna malaika mwenye heri alizuia siasa mpaka 2020??? Nini kimetokea???
Tusikae kulalamika lalamika kama watoto wajameni. Siasa za majukwani ndio hazina budi kusitishwa. Lakini siasa kama hizi za kukutana ndani ya chama ndani ya ukumbi nani amekatazwa. Siasa kama kamati kuu ya chadema iliyokutana dodoma mbona haikukatazwa. Kwa nini msifuate mtindo huu wa kistaarabu. Saiz hatutaki makelel mitaani kamanda tunajenga uchumi wa taifa na wetu mmojammoja
Hapa Intelejensia haikuonesha kwamba kutatokea uvunjivu wa amani?
Unajua tofauti ya serikali na chama?? Kwani chadema hawana majimbo na halmashauri ambazo wanatakiwa kuhimiza utendaji kazi maana zipo chini yao????? Au misingi ni ccm tuChama kinachotawala ndicho kinachoratibu misingi ya nchi. Ccm hawafanyi siasa za uchaguzi..wanahimiza utendaji kazi
Kuna ras hapa mtaani anapiga kiingereza cha ki Jamaica ,cha kiingereza na cha USA na shule hanaKumbuka ni std VII. Sina uhakika sana kama ataelewa hii lugha
Mghwira keshashirikiana na dikteta kuzuia mikutano ya kisiasa..... naye tutamshtaki kwa wananchi 2020 ili wawaadhibu wasaliti wakubwa nyieWenyewe wapo busy na Anna Nghwira. Kila ofisi anayoingia lazima walete update, huku Bulembo anawavuna wanachama wao tu.
Mtabadirisha watu kwa rangi za sare zenu lakini asilani, Mioyo ya watu hamtaibadilisha,,Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alahj Abdallah Bulembo akizungumza na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Chato, Wajumbe wa Mabaraza ya Juuia za CCM, Madiwani, Mabalozi na Watendaji wa Serikali, katika Ofisi ya CCM ya Wilaya hiyo mkoani Geita, leo Juni 9, 2017.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akimpongeza Joseph Chacha ambaye alitangaza kuhamia CCM wakati wa kikao hicho. Chacha alikuwa Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema katika Wilaya za Geita na Chato.
Tumia tu Kiswahili au hata kiluga basi make kwa hali hii nina uhakika 100% kuwa hata wewe hujui unachomaanisha. Nyie ndo wale mkiombwa vyeti mnakimblia kudai vililiwa na panya kwenye nyumba ya Bibi. Very pathetic. Bashite-type.Congratulation Hon MP however I have an opinion if we really need opposition parties in the Country to me I would we could have back to single party may be Later Our Children would by then Think of bringing them back I could see these parties divide us more than they Unite Us I may be wrong but these I my Opinions welcome let me here from You
Jitahidi.Mghwira keshashirikiana na dikteta kuzuia mikutano ya kisiasa..... naye tutamshtaki kwa wananchi 2020 ili wawaadhibu wasaliti wakubwa nyie
Marufuku kufanya siasa mpaka 2020
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alahj Abdallah Bulembo akizungumza na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Chato, Wajumbe wa Mabaraza ya Juuia za CCM, Madiwani, Mabalozi na Watendaji wa Serikali, katika Ofisi ya CCM ya Wilaya hiyo mkoani Geita, leo Juni 9, 2017.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akimpongeza Joseph Chacha ambaye alitangaza kuhamia CCM wakati wa kikao hicho. Chacha alikuwa Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema katika Wilaya za Geita na Chato.
Mbowe anaongoza maprof wangapi?Unamzungumzia DAB? Mbona ana zero lakini anaongoza mkoa uliojaa maprofesa na madokta na mpaka rais, waziri mkuu, makamu wa rais na mawaziri wote wamo humo!
Wameluhusu=wameruhusu.Kwani siasa wameluhusu.