Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,601
- 11,915
Huyu labda alikuwa mkurugenzi wa ulinzi wa nokho!! Mbona kachoka hivyo?Chacha alikuwa Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema
Huyu labda alikuwa mkurugenzi wa ulinzi wa nokho!! Mbona kachoka hivyo?Chacha alikuwa Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema
Mh!Remember when writing small small comment all you need is to be brief and understandable be aware BT you have I point Thanxs my boy
CDM hamuiwezi, hao masalia aka njaa kali
Hahahaha well saidTunampongeza kwa Kuachana na Mafisadi na Malaghai ya CHADEMA
Wameluhusu - wameruhusuKwani siasa wameluhusu.
Mh!
hii ni lugha ya kabila gani?
Chinese and MongoliansMh!
hii ni lugha ya kabila gani?
Ni kweli kabisa kama lowasa, sumaye, masha, na wengineo wamekosa mwelekeo kweliHao wanao hama hama vyama vyao huwa ni watu wasio jua kipi wanacho kisimamia, ni wale wanao ishi kwa mihemuko, watu ambao akili zao hazina uwezo kujitegemea .
AmejitungiaHakuna cheo cha mkurugenzi Wa ulinzi na usalama Wa wilaya ktk chama cha demokrasia na maendeleo, hapo ndio inaonyesha namna gani unavyodanganya watu
Congratulation Hon MP however I have an opinion if we really need opposition parties in the Country to me I would we could have back to single party may be Later Our Children would by then Think of bringing them back I could see these parties divide us more than they Unite Us I may be wrong but these I my Opinions welcome let me here from You
Kwani siasa wameluhusu.