Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,698
- 4,693
Mnaleta marumbano ya mafumbo kati yenu wawili. Naomba kama ni yenu nendeni private. Hapa leteni mambo ya wazi ya kujadiliwa na watu wote! Mafumbo ya ..., St Peter's, n.k. hayatuhusu! Please!!Kiukweli huyu jamaa ni anajimwambafy tuu kufuatia ZZK kumuumiza sana kichwa Mzee, hivyo sasa ni mashindano ya Kujipendekeza kwa kujimwambafy kuwa anamuweza ZZK ili aendelee kuteuliwa!, kiukweli kabisa this is among the totally empty shells kule mjengoni!.
Zitto Kabwe asipogombea kama mgombea wa pamoja wa upinzani, endapo Tundu Lissu hatarejea, then Zitto ndio mgombea pekee wa upinzani kwa huku bara mwenye guarantee ya kurejea Bungeni na sababu ni moja tuu...
Naomba nisiitaje!.
P