Kuoa na Faru John.Kalekale bwashee.
Wapinzani wana kazi moja tu bungeni ya kuoa!
Kuoa na Faru John.Kalekale bwashee.
Wapinzani wana kazi moja tu bungeni ya kuoa!
Kalekale bwashee.
Wapinzani wana kazi moja tu bungeni ya kuoa!
Hata CCM ruzuku ndio inawapa jeuri, halafu hilo swala lipo Kikatiba sio matakwa binafsi.Zitto ni presidential candidate wa ACT wazalendo. Lengo lake ni kukuza ruzuku ili ACT wapate mrija wa ruzuku. Maalim Seif anagombea Zanzibar kivyovyote watapata ruzuku.
Hala hala...Bulembo!, kasome kisa cha Mfalme Midas, kinachoitwa "The Midas Touch", tunaojua chanzo cha chuki ya Bulembo kwa Zitto hatushangai, wasiwasi wangu ni badala ya Zitto kulia, asije kujikuta analia yeye!.
japo najua kweli Bulembo yuko fit maana siku ile alipomhukumu kifo Zitto pale Bungeni, yeye mtoa hukumu anaendelea kudunda ila yule mshangiliaji hukumu ile kwa kupiga tuu makofi amechomoka!.
Watu wengine sio wa kuchezea!.
P
Bado huyu naye kuna siku atachenjiwa na bamkwe wakeView attachment 1482194
Kwani nani kabisha? Siasa ni ulaji wa watu kuna tatizo kwenye hilo?Hata CCM ruzuku ndio inawapa jeuri, halafu hilo swala lipo Kikatiba sio matakwa binafsi.
Kuna watu wanaji-brand wenyewe majimboni, na majimbo mengine chama ndo kipo branded... sasa kwa Zitto, yeye ndo amejibrand jimboni... Bulembo ana kazi kubwa kama kweli nia hiyo anayoHala hala...Bulembo!, kasome kisa cha Mfalme Midas, kinachoitwa "The Midas Touch", tunaojua chanzo cha chuki ya Bulembo kwa Zitto hatushangai, wasiwasi wangu ni badala ya Zitto kulia, asije kujikuta analia yeye!.
japo najua kweli Bulembo yuko fit maana siku ile alipomhukumu kifo Zitto pale Bungeni, yeye mtoa hukumu anaendelea kudunda ila yule mshangiliaji hukumu ile kwa kupiga tuu makofi amechomoka!.
Watu wengine sio wa kuchezea!.
P
Sio siasa tu hata wewe kazi unayofanya unahita ulaji!Kwani nani kabisha? Siasa ni ulaji wa watu kuna tatizo kwenye hilo?
Kiukweli huyu jamaa ni anajimwambafy tuu kufuatia ZZK kumuumiza sana kichwa Mzee, hivyo sasa ni mashindano ya Kujipendekeza kwa kujimwambafy kuwa anamuweza ZZK ili aendelee kuteuliwa!, kiukweli kabisa this is among the totally empty shells kule mjengoni!.Kuna watu wanaji-brand wenyewe majimboni, na majimbo mengine chama ndo kipo branded... sasa kwa Zitto, yeye ndo amejibrand jimboni... Bulembo ana kazi kubwa kama kweli nia hiyo anayo
Hkn sababu zaidi ya kuwa ni mtumishi wa St Peter namjua ZZK kupitia Rafiki yetu mmoja ambae nmekutumia Audio yke wiki Mbili tatu nyuma...Kiukweli huyu jamaa ni anajimwambafy tuu kufuatia ZZK kumuumiza sana kichwa Mzee, hivyo sasa ni mashindano ya Kujipendekeza kwa kujimwambafy kuwa anamuweza ZZK ili aendelee kuteuliwa!, kiukweli kabisa this is among the totally empty shells kule mjengoni!.
Zitto Kabwe asipogombea kama mgombea wa pamoja wa upinzani, endapo Tundu Lissu hatarejea, then Zitto ndio mgombea pekee wa upinzani kwa huku bara mwenye guarantee ya kurejea Bungeni na sababu ni moja tuu...
Naomba nisiitaje!.
P
Mbona baba kama hamtambui zittoHalima tayari kashaolewa na zitto rasmi?
Ametoa sababu za msingi ni kwanini hataki Zitto arudi tena Bungeni? Au hataki tu arudi? Sometimes ukisikiliza hoja za baadhi ya wanaCCM ni vichekesho; hawana hoja na hata ukimuuliza kwanini hana cha kujibu zaidi ya "... anamkwamisha Mh. Rais ...". Kwao, mwongo, mnafiki, as long as anasifu na kuabudu huyo ndiye mbunge!
Weight huwa anamega visu vikali mzeeNje ya mada, hivi kweli ZITTO kamuoa halima bulembo? Dah yule Dada Mimi namuona mzuri (ukiachana na chama chake),zitto basi anaidi totoz ya Lumumbaa au washaachana?
Tukianza na vetting nani wa St. Peter's and who is not, we'll end up with nobody! because It's very hard to tell who is who, who is in?, who is not, to me nawaona as if most have been compromised including usiowadhania kabisa.Hkn sababu zaidi ya kuwa ni mtumishi wa St Peter namjua ZZK kupitia Rafiki yetu moja ambae nmekutumia Audio yke Mbili tatu nyuma...
Sent from my ANE-LX1 using JamiiForums mobile app
Upo sahihi tatizo langu kwa ZZK ni kujifanya mkombozi wakt nyuma ya pazia ni msaliti km wale wengine wa mtaa wa Ufipa...Tukianza na vetting nani wa St. Peter's and who is not, we'll end up with nobody!. It's hard to tell who is who because most have been compromised including usiowadhania!.
P
Misambwanda tena ipo pale ya kumwagaKama yesu anavyo wahimiza wasaidizi wake waoe maana pale udom kuna warembo wengi sana
Umenikumbusha Mdhihir Mdhihir (Mb) wa Mchinga, baada ya kushadadia sana ZZK, afukuzwe Bungeni (2007) aliporudi Jimboni, akakatika mkono.....Asije akarudi bila mkono...!
View attachment 1482333