mzee, tatizo skuhizi kuna vi maneno vingi sana (hasa Bongo hii) visivyo na kichwa wala miguu...sasa nakushauri ingekuwa vyema sana kama ungemuuliza vizuri kwanza huyo ULIYESIKIA kwake hizi habari ikiwezekana hata kuiona then angalau tungejua wapi kwa kuanza...mi mwenyewe ndo naskia kwako....!!!wakuu kuna haka kateknolojia nimeskia ka bulbu ya maji,kamenishangaza sana,ningeomba nifahamishwe kama mmeona kanawaka and jinsi ya kukitengeneza.
<br />mzee, tatizo skuhizi kuna vi maneno vingi sana (hasa Bongo hii) visivyo na kichwa wala miguu...sasa nakushauri ingekuwa vyema sana kama ungemuuliza vizuri kwanza huyo ULIYESIKIA kwake hizi habari ikiwezekana hata kuiona then angalau tungejua wapi kwa kuanza...mi mwenyewe ndo naskia kwako....!!!