GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,871
Baadhi ya walimu wilaya ya Bukombe wameripotiwa kuzihama nyumba walizojengewa na Serikali na kwenda kupanga mjini Ushirombo kutokana na kuona mauzamauza ya sungura waliovaa tai na watu waliosimama katika nyumba hizo usiku. Hayo yamebainishwa katika kikao cha baraza la madiwani.
Chanzo: Clouds Media
=====
Na inasemekana kuwa hata Mtanzania Mwenzetu Mmoja ( sasa amepumzika daima Milele ) japo Usoni alikuwa akionyesha ana Yesu Kristo, Roho Mtakatifu na Bikira Maria ila kwa haya ' Mauzauza ' na Yeye alikuwa ni Mdau Mkubwa kiasi cha Kuyaamini kuliko hata Sayansi yake ya Kikemikali pale COET ( UDSM )
Poleni Walimu na Vumilieni yataisha tu.
Chanzo: Clouds Media
Na inasemekana kuwa hata Mtanzania Mwenzetu Mmoja ( sasa amepumzika daima Milele ) japo Usoni alikuwa akionyesha ana Yesu Kristo, Roho Mtakatifu na Bikira Maria ila kwa haya ' Mauzauza ' na Yeye alikuwa ni Mdau Mkubwa kiasi cha Kuyaamini kuliko hata Sayansi yake ya Kikemikali pale COET ( UDSM )
Poleni Walimu na Vumilieni yataisha tu.