Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Walimu na wafanyakazi wa shule za msingi na sekondari ya kolping inayomilikiwa na kanisa katoriki jimbo la Bukoba wamegoma tangu wiki iliyopita wakishinikiza uongozi kuwalipa malimbikizo ya mishahara ya miezi 8.
Hata hivyo kikao cha kuwaomba wafanyakazi hao kurudi kazini kimevunjika baada ya uongozi kuwasimamisha wenzao 12 wanaodhaniwa vinara wa mgomo huo.
Kolping ni shule maarufu kwa mkoa huo wa Kagera na licha ya kumilikiwa na kanisa lakini kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa ikifanya vibaya kutokana na kile kinacoelezwa kuwa mapato ya shule yanatumika kulipa wafanyakazi wa hoteli ya kolping na utitiri wa wafanyakazi katika shirika la kolping ambalo kimsingi halina chanzo cha mapato bali kutegemea tu ada za shule husika.
Chanzo: Redio Bukoba.
Mkurugenzi wa shule : 0787 21 29 57
Mhasibu Mkuu 0753 822070
Kwa atakaye taka kuthibtisha.
Hata hivyo kikao cha kuwaomba wafanyakazi hao kurudi kazini kimevunjika baada ya uongozi kuwasimamisha wenzao 12 wanaodhaniwa vinara wa mgomo huo.
Kolping ni shule maarufu kwa mkoa huo wa Kagera na licha ya kumilikiwa na kanisa lakini kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa ikifanya vibaya kutokana na kile kinacoelezwa kuwa mapato ya shule yanatumika kulipa wafanyakazi wa hoteli ya kolping na utitiri wa wafanyakazi katika shirika la kolping ambalo kimsingi halina chanzo cha mapato bali kutegemea tu ada za shule husika.
Chanzo: Redio Bukoba.
Mkurugenzi wa shule : 0787 21 29 57
Mhasibu Mkuu 0753 822070
Kwa atakaye taka kuthibtisha.