Elections 2010 Bukoba vijijini

Kuna mtu mzito ktk TISS alinitonya kuwa wanajua jk hawezi kupata kura za kumpa urais, lakini kutokana na stategy yao ya uchakachuaji watamtamgaza jk mshindi! Ila leo ami nitumia text msg anasema gap ni kubwa mno hata kuiba haitawezekana, so dr slaa ndiye atakayeapishwa ijumaa.

MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI CHADEMA
 
Kuna mtu mzito ktk TISS alinitonya kuwa wanajua jk hawezi kupata kura za kumpa urais, lakini kutokana na stategy yao ya uchakachuaji watamtamgaza jk mshindi! Ila leo ami nitumia text msg anasema gap ni kubwa mno hata kuiba haitawezekana, so dr slaa ndiye atakayeapishwa ijumaa.

MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI CHADEMA

Mungu yuko pamoja nasi! shetani hawezi kuendelea kutawala.
 
Back
Top Bottom