Kuna mtu mzito ktk TISS alinitonya kuwa wanajua jk hawezi kupata kura za kumpa urais, lakini kutokana na stategy yao ya uchakachuaji watamtamgaza jk mshindi! Ila leo ami nitumia text msg anasema gap ni kubwa mno hata kuiba haitawezekana, so dr slaa ndiye atakayeapishwa ijumaa.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI CHADEMA