Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,020
- 690
Jamani huku Bukoba raha kweli kweli
Hivi sasa wale wadudu maarufu jamii ya panzi yahani senene ni wa kumwaga hapa,
Pia Mgao wa Umeme tunausikia kwenye vyombo vya Habari sisi tunatumia umeme kutoka Uganda
Hapa mbali na matatizo ya ukosefu wa fedha kama wabongo wengine lakini kwa hayo tunakula maisha
Karibu Lakini ukiingia kichwa kichwa utayapata ya...........
Watu Nyegera
Hivi sasa wale wadudu maarufu jamii ya panzi yahani senene ni wa kumwaga hapa,
Pia Mgao wa Umeme tunausikia kwenye vyombo vya Habari sisi tunatumia umeme kutoka Uganda
Hapa mbali na matatizo ya ukosefu wa fedha kama wabongo wengine lakini kwa hayo tunakula maisha
Karibu Lakini ukiingia kichwa kichwa utayapata ya...........
Watu Nyegera