babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,085
- 15,979
Inauzi sana, nilienda tokyo nikakuta mzee wangu aliyebaki kakati nusu yote migomba ya zamani na miti ya maparachichi.nikimuuliza anasema walishauriwa na wachina.🤔Hakuna kitu sipendi kama hizi mbegu mpya za migomba. Roho inauma mno zile ndizi za asili zinapotea
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app