Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Mahakama ya Hakimu Mkazi wilaya ya Bukoba imemuhukumu kwenda jela miaka 60, Ustadhi Amoud Kyabushukuru kwa makosa mawili ya ubakaji na kulawiti mtoto mdogo wa kike aliyekuwa akimfundisha somo la dini.
Akisoma mashitaka hayo Wakili wa Serikali Grey Uhagile amesema mshitakiwa huyo alitenda makosa hayo Julai 6 mwaka jana.
Akisoma mashitaka hayo Wakili wa Serikali Grey Uhagile amesema mshitakiwa huyo alitenda makosa hayo Julai 6 mwaka jana.