Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Mahakama ya Wilaya Bukoba imemhukumu Emmanuel Cleophace (20) kwenda jela kwa miaka 30 kwa kosa la kumuoa mwanafunzi aliyekuwa amehitimu kidato cha nne anayeitwa Adilia Alistides(18). Mwanafunzi aliyeolewa alikuwa akisoma Shule ya Sekondari Kabugaro iliyopo Manispaa ya Bukoba Kagera.
Hukumu hiyo ya Mahakama imesomwa na Hakimu Mkazi Joseph Luambano.
Kesi hii ni ya mwaka 2016
-------------
Hapo sheria inayotumika inaitwa Education Act Chapter 353 s. 60A(1), kinapiga marufuku mtu kumuoa mwanafunzi au mwanafunzi kuoa .
S. 60A (2) inatoa adhabu kwa mtu atakayeoa mwanafunzi wa primary or secondary school adhabu ni 30 yrs, but mutatis mutandis with Cap 16 , kwenye Canons of statutory interpretation ya "intention of the legislature "
Swali; Je, mwanafunzi / uanafunzi unaishia wapi?
Jibu: Uanafunzi wa o-level unashia mpaka Necta wakishatoa matokeo (Ndiyo huyo hakimu alivyotafsiri)
Hukumu hiyo ya Mahakama imesomwa na Hakimu Mkazi Joseph Luambano.
Kesi hii ni ya mwaka 2016
-------------
Hapo sheria inayotumika inaitwa Education Act Chapter 353 s. 60A(1), kinapiga marufuku mtu kumuoa mwanafunzi au mwanafunzi kuoa .
S. 60A (2) inatoa adhabu kwa mtu atakayeoa mwanafunzi wa primary or secondary school adhabu ni 30 yrs, but mutatis mutandis with Cap 16 , kwenye Canons of statutory interpretation ya "intention of the legislature "
Swali; Je, mwanafunzi / uanafunzi unaishia wapi?
Jibu: Uanafunzi wa o-level unashia mpaka Necta wakishatoa matokeo (Ndiyo huyo hakimu alivyotafsiri)