ichumu lya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,605
- 2,729
Mungu anakuona umekula MB zangu bure.
Ilijenga hili ghorofa huko bukobaWahaya mligawana minoti kwenye viroba pale Mkombozi bank, Tena wengine wakaziita pesa za mboga ilhal Bukoba wanafunzi hawana madawati.
Hivi Ile bilioni ya mama prof T. Ingenunua madawati mengapi?
Ni vyema kufikiria yafuatayo kabla ya kufikiria New Bukoba iliyo kama New York;Katika kuonyesha kuitikia wito wana Bukoba wa Dar es Salaam na ughaibuni wameahidi kuchangia jumla ya trilion 3 kila baada ya miezi 3 ili kuboresha litakalokuwa jiji la NEW BUKOBA. Bukoba ndo home.
PhD za umaskini au rubisi?Bukoba ndo imetoa PhD nyingi zaidi
Wahaya mnamatatizo sana
Hahaha sijui ni Rubisi imewaleweshaWahaya bana.
Kyamyorwa ya pale mizani ?Rugimbana unaenda Kyamyolwa?
New Bukoba CityEti new Bukoba
That's why I love BukobaIlijenga hili ghorofa huko bukoba
Nyumba ya mama Anna Tibaijuka huko bk
Na pia hiyo shule ya wasichana.
View attachment 1673694View attachment 1673695