Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,633
- 26,033
Sasa jenga viwanda basi, sio kukaa na kulalamika lalamika hapa.Ingekuwa kila polis wakimkamata mpinzani kuna viwanda vitano, vina ibuka!! Daaa hata china na USA, wasingetufikia kwa idadi!!!