Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
Kitendo cha Mh. Slaa kurudi Bukoba hapo kesho, kunawafanya ccm pureesha ipande na kushuka. Ukiwa Bukoba mjini gari la CHADEMA linazunguka mjini likiwa na Mziki mkubwaaaaaaaaaaa ambao unaimba nyimbo mbili ziitwao ; SLAA ANAWEZA, na Ule wa PUREEEESHAA INAPANDA INASHUUUKA. Kila kona ukipita utasikia ccm: pureeeeesha inapanda inashukaaa, mafisadi: pureeeesha inapanda inashukaaaaa, wala rushwa uuuurehsa inapanda inashukaaaaa. Basi ccm wanachukia haoo!!!!! kila gari likipita utasikia wanasema aghhh hili li wimbo nalooo ahhh pureeeesha pureeeesha aghhhh?<?>>|+)**^%%$. Mara Juzi pale Kahororo Mh. Kagasheki alitoa hotuba yake kwa kumponda Slaa kwa point ya ajaaaaaaabu hadi nikashangaaa kuona Naibu Waziri anashindwa ku -reason kitu kidogo. Eti akasema hivi "Wakati kikwete amekuja hapa mlisikia anatamka mwenyewe kuwa atajenga barabara ya Kahororo. Alisema hakusea???? Basi wakaitikia alisemaaaaaaaa" akauliza " Je Slaa mlisikia anaitaja Kahororo?" wala hapajui Kahororo. Kwa hiyo kKikwete ndo poa sababu anapajua Kahororo.Lakini mimi ninavyojua ni kuwa ukimuweka Kikwete mjini ukamwambia twende Kahororo hawezi kukupeleka, maana alikremishwa tuuu ataje kahororo lakini hapajui. Lakini kujua jina la mahali na kupataja ndo kuwa kiongozi boraaa. Baada ya hapo ccm wakatimuana.