The Stress Challengerr
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 2,478
- 6,764
Inadaiwa Rais wa Nigeria Buhari naye kanasa. Yupo Cuba anatibiwa kisiri. Chief of staff wake Abba Kyari alitoka nao Germany na akatest positive lakini ndugu Buhari alipimwa akakitwa hana.
Tetesi hizi zinaenezwa sana na wa Igbo ambao wanafunga hili Buhari apotee kabisa kwasababu yeye na mkuu wa jeshi wanawafadhili na kuwalinda Boko Haram.
Lakini za chinichini zinadai alinasa na kusnick Cuba.
Hata kama anao ama hana tumuombeeni ndugu Buhari kutawala wa Nigeria siyo mchezo na rahis ukizingatia kabila la Igbo linataka kujitenga na kuwa Biafra.
Igbo wanalalamika Buhari ni mdini na mkabila kajaza kabila lake Fulani ambao wanathamini ng'ombe kuliko binadamu nje ya kabila lao katika nyadhifa nyeti za kiusalama.
Tetesi hizi zinaenezwa sana na wa Igbo ambao wanafunga hili Buhari apotee kabisa kwasababu yeye na mkuu wa jeshi wanawafadhili na kuwalinda Boko Haram.
Lakini za chinichini zinadai alinasa na kusnick Cuba.
Hata kama anao ama hana tumuombeeni ndugu Buhari kutawala wa Nigeria siyo mchezo na rahis ukizingatia kabila la Igbo linataka kujitenga na kuwa Biafra.
Igbo wanalalamika Buhari ni mdini na mkabila kajaza kabila lake Fulani ambao wanathamini ng'ombe kuliko binadamu nje ya kabila lao katika nyadhifa nyeti za kiusalama.