Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,682
- 40,886
Nyie ndio maboss wakeUnamjua au unamsikia
Nyie ndio maboss wakeUnamjua au unamsikia
Uko TanzaniaNyie ndio maboss wake
Yaaaah, nikweli huko nichangamoto kabisa, mpaka maeneo yote ya Bendera tatu.Kwa boaz
Naweza kukutunza dogo kwa umli nilionao, nina watu jama wewe wanaokula na kufanya kazi kama 6 badi wanaokula bule bila mshahara.Endelea kuishi kwa shemeji yako mkuu mpaka utakapo kua
Na ajabu maji ya ziwa yanapelekwa hadi shinyanga wakati sehemu nyingi za mwanza hakuna majiNi kilomita 3 tu kutoka Ziwa Victoria mpaka Bugarika jirani na Bugando Hospital. maji bado ni changamoto kwa miaka 60 ya CCM madarakani poleni kwa ndugu zangu wa Mahina kilomita 7 mnaochota majitiririka kwenye mitaro.
Lengo langu ni kumkumbusha Rais Samia kwamba hata Marais walopita wote walikua na nia ya dhati kuinua uchumi wa Mtanzania kwa nini walisuasua jibu katiba 77 Mhe. Rais tunahitaji Katiba Mpya.
Mbona povu michezo huu hautaji hasiraNaweza kukutunza dogo kwa umli nilionao, nina watu jama wewe wanaokula na kufanya kazi kama 6 badi wanaokula bule bila mshahara.
Ukuprnda tuma maombi nikupe kibarua.
Mkuuu umeupiga mwingi sana bravoMpuuzi wewe kua uyaone, sukari imepanda kwa wote, vifaa vya ujenzi, mafuta ya kula, petrol n.k
Kwani nyie wapiga kura wa Jiwe hamkumwambia hilo?Ni kilomita 3 tu kutoka Ziwa Victoria mpaka Bugarika jirani na Bugando Hospital. maji bado ni changamoto kwa miaka 60 ya CCM madarakani poleni kwa ndugu zangu wa Mahina kilomita 7 mnaochota majitiririka kwenye mitaro.
Lengo langu ni kumkumbusha Rais Samia kwamba hata Marais walopita wote walikua na nia ya dhati kuinua uchumi wa Mtanzania kwa nini walisuasua jibu katiba 77 Mhe. Rais tunahitaji Katiba Mpya.
LOOoo, umeyaunganisha haya mambo (katiba na upatikanaji wa maji Bugarika) isivyotegemewa!Ni kilomita 3 tu kutoka Ziwa Victoria mpaka Bugarika jirani na Bugando Hospital. maji bado ni changamoto kwa miaka 60 ya CCM madarakani poleni kwa ndugu zangu wa Mahina kilomita 7 mnaochota majitiririka kwenye mitaro.
Lengo langu ni kumkumbusha Rais Samia kwamba hata Marais walopita wote walikua na nia ya dhati kuinua uchumi wa Mtanzania kwa nini walisuasua jibu katiba 77 Mhe. Rais tunahitaji Katiba Mpya.
Kidogo Mabula wa IlemelaMabula kwake mkolani ingilia upande wa kanisa katoliki nenda maeneo ya mkolani sc utampata anaishi maeneo hayo toka akiwa mlinzi kule ihumilo luchelele kwa mzungu anaitwa Giji
Lile la nyamagana zuzu bora liluudi kwenye ulinzi shamba sana lileKidogo Mabula wa Ilemela