Bugarika, Mwanza: Maji bado changamoto kwa miaka 60 ya CCM madarakani

Endelea kuishi kwa shemeji yako mkuu mpaka utakapo kua
Naweza kukutunza dogo kwa umli nilionao, nina watu jama wewe wanaokula na kufanya kazi kama 6 badi wanaokula bule bila mshahara.

Ukuprnda tuma maombi nikupe kibarua.
 
Ni kilomita 3 tu kutoka Ziwa Victoria mpaka Bugarika jirani na Bugando Hospital. maji bado ni changamoto kwa miaka 60 ya CCM madarakani poleni kwa ndugu zangu wa Mahina kilomita 7 mnaochota majitiririka kwenye mitaro.

Lengo langu ni kumkumbusha Rais Samia kwamba hata Marais walopita wote walikua na nia ya dhati kuinua uchumi wa Mtanzania kwa nini walisuasua jibu katiba 77 Mhe. Rais tunahitaji Katiba Mpya.
Na ajabu maji ya ziwa yanapelekwa hadi shinyanga wakati sehemu nyingi za mwanza hakuna maji
 
Ni kilomita 3 tu kutoka Ziwa Victoria mpaka Bugarika jirani na Bugando Hospital. maji bado ni changamoto kwa miaka 60 ya CCM madarakani poleni kwa ndugu zangu wa Mahina kilomita 7 mnaochota majitiririka kwenye mitaro.

Lengo langu ni kumkumbusha Rais Samia kwamba hata Marais walopita wote walikua na nia ya dhati kuinua uchumi wa Mtanzania kwa nini walisuasua jibu katiba 77 Mhe. Rais tunahitaji Katiba Mpya.
Kwani nyie wapiga kura wa Jiwe hamkumwambia hilo?
 
Ni kilomita 3 tu kutoka Ziwa Victoria mpaka Bugarika jirani na Bugando Hospital. maji bado ni changamoto kwa miaka 60 ya CCM madarakani poleni kwa ndugu zangu wa Mahina kilomita 7 mnaochota majitiririka kwenye mitaro.

Lengo langu ni kumkumbusha Rais Samia kwamba hata Marais walopita wote walikua na nia ya dhati kuinua uchumi wa Mtanzania kwa nini walisuasua jibu katiba 77 Mhe. Rais tunahitaji Katiba Mpya.
LOOoo, umeyaunganisha haya mambo (katiba na upatikanaji wa maji Bugarika) isivyotegemewa!

Lakini sisemi kwamba hayawezi kuunganishwa na kuonekana yako sambamba.
 
Mabula kwake mkolani ingilia upande wa kanisa katoliki nenda maeneo ya mkolani sc utampata anaishi maeneo hayo toka akiwa mlinzi kule ihumilo luchelele kwa mzungu anaitwa Giji
 
Back
Top Bottom