mbutalikasu
Member
- Jan 20, 2012
- 53
- 17
jamani nisaidieni hawa madaktari wa Bugando wanaohusika na upasuaji wa watoto waliovimba vichwa wamejaa ubinafsi tu, kuna watoto wamelundikana katika vitanda wanalala 3 kila kitanda, wazazi wamepewa ahadi za kufanyiwa upasuaji tokea januari hadi leo hawajafanya hivyo ukienda jibu unalopewa ni kwamba mipira ya kuwawekea haipo jamani waoneeni huruma hawa watoto hawakupenda na walla wazazi wao hawakupenda. MUNGU wawekee watoto hao mkono wako waweza kupona