Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,216
- 7,907
ccm hamna chenu, hii ni serikali ya Magufuli. Wasukuma ndo tumemuweka magu kwenye kiti na ndo maana amefuta safari za maccm nje ili kaleta MRI bugando ili bangosha tubate tiba safiInang'ara CCM! Inang'ara CCM! Kimenuka kwa UKIWA/CHADOMO...huku watu wanajipanga kujenga NCHI wao wanajipanga kuleta VURUGU.....mwaka huu sijui wamekula MAJANI YA WAPI!!!