Budget ya Kenya ni zaidi ya bajeti ya Tanzania kwa 44%

May 10, 2012
92
71

Leo Mawaziri wa Fedha wa Nchi za Afrika ya Mashariki wataanza kusoma Bajeti za serikali zao kwa mwaka wa Fedha wa 2012/2013.

Waziri wa Fedha wa Tanzania Dr. William Mgimwa atasoma bajeti ya Tanzania kwa mwaka 2012/2013 leo Mjini Dodoma ambayo ni SH. 15 TRILLION, hii ni takriban Dolari za Kimarekani 9.43 Billion.

Bajeti ya Tanzania ya mwaka huu itakuwa na vipaombele saba, Vipao mbele vitano kati ya hivyo ni

1. Deni la Taifa ( Shs. 2.7 Trillion)

2.Wizara ya Ujenzi (Shs. 1 Trillion)

3.Wizara ya Ulinzi ( Shs. 920 Billion)

4.Wizara ya Elimu ( Shs. 721 Billion)

5.Wizara ya Nishati na Madini ( Shs. 641 Billion)


Kwa upande wa Kenya, Bajeti ya mwaka 2012/2013 ambayo itasomwa na Waziri wa Fedha wa nchi hiyo Njeru Githae ni Shilingi za Kenya 1.4 Trillion, ambazo ni takriban Dolari za Kimarekani 16.87 Billion.

Kipaombele kikubwa katika bajeti ya Kenya ya mwaka huu ni Wizara ya Ulinzi na Uslama, ambayo imepangiwa Shilingi za KENYA 13.4 Billion.

Tofauti ya Bajeti ya Kenya ( USD 16.87 BILLION) na ile ya Tanzania ( USD 9.43 BILLION) ni Dolari za Kimarekani 7.43 Billion.

Hii ina maana ya kuwa Bajeti ya Kenya inazidi ile ya Tanzania kwa
44%.

Nini implications ya tofauti hii kubwa katika masuala ya

1. Kuongeza pato la ndani la taifa (G.D.P)

2. Kupunguza mfumuko wa bei ( Inflation)

3. Kuongeza Ajira Nchini ( Job Creation)

4. Kupunguza Umaskini na Kuongeza Ustawi wa Jamii ( Poverty Eradication and Social Welfare Improvement)

5. Kupunguza tofauti za kipato miongoni mwa matabaka mbali mbali nchini (Income Gap Reduction).

6. Kuongeza ushindani wa Makampuni ya Tanzania katika soko la Afrika Mashariki.
 
Ndugu zangu nadhani kuna umuhimu wa pekee wa kulifanyia special AUDIT hili deni laTaifa na kujua chanzo kikuu cha hili deni kukua at a GEOMETRIC rate!! Hawa magamba wanaweza kuwa ndio wanatumia deni la Taifa kama uchochoro wao wa kulihujumu Taifa.
 
du, kibaya zaidi, wakenya ni wachache kuliko watanzania. serikali ya kina ritz hiyo, lakini utaona wanakuja kuitetea
 
Ndugu zangu nadhani kuna umuhimu wa pekee wa kulifanyia special AUDIT hili deni laTaifa na kujua chanzo kikuu cha hili deni kukua at a GEOMETRIC rate!! Hawa magamba wanaweza kuwa ndio wanatumia deni la Taifa kama uchochoro wao wa kulihujumu Taifa.

Hapo penye nyekundu ulitaka kusema nini? Hisabati kama nimezisahau kidogo vile!
 
du, kibaya zaidi, wakenya ni wachache kuliko watanzania. serikali ya kina ritz hiyo, lakini utaona wanakuja kuitetea
Idadi ya kenya na Tanzania karibu zinalingana.kutokana na sensa ya mwisho.kama kuna tofauti ya watu itakuwa ndogo sana!
 
Idadi ya kenya na Tanzania karibu zinalingana.kutokana na sensa ya mwisho.kama kuna tofauti ya watu itakuwa ndogo sana!

According to Census of 2011 Kenya Population is 41 million, and according to Census of 2002, Tanzania population is nearly 40 million, so the difference is minimal.
 

Leo Mawaziri wa Fedha wa Nchi za Afrika ya Mashariki wataanza kusoma Bajeti za serikali zao kwa mwaka wa Fedha wa 2012/2013.

Waziri wa Fedha wa Tanzania Dr. William Mgimwa atasoma bajeti ya Tanzania kwa mwaka 2012/2013 leo Mjini Dodoma ambayo ni SH. 15 TRILLION, hii ni takriban Dolari za Kimarekani 9.43 Billion.

Bajeti ya Tanzania ya mwaka huu itakuwa na vipaombele saba, Vipao mbele vitano kati ya hivyo ni

1. Deni la Taifa ( Shs. 2.7 Trillion)

2.Wizara ya Ujenzi (Shs. 1 Trillion)

3.Wizara ya Ulinzi ( Shs. 920 Billion)

4.Wizara ya Elimu ( Shs. 721 Billion)

5.Wizara ya Nishati na Madini ( Shs. 641 Billion)


Kwa upande wa Kenya, Bajeti ya mwaka 2012/2013 ambayo itasomwa na Waziri wa Fedha wa nchi hiyo Njeru Githae ni Shilingi za Kenya 1.4 Trillion, ambazo ni takriban Dolari za Kimarekani 16.87 Billion.

Kipaombele kikubwa katika bajeti ya Kenya ya mwaka huu ni Wizara ya Ulinzi na Uslama, ambayo imepangiwa Shilingi za KENYA 13.4 Billion.
Mkuu, tafadhali kama unazo takwimu, tuwekee vipaumbele vya bajeti ya Kenya pia mbali na hiyo ya ulinzi. ambayo sishangai kutokana na mapambano yake na AL-KASIDA (a.k.a. al-UAMSHO). Lakini pia sishangai kuwa bajeti ya Kenya ni kubwa kwa sababu ina miradi mingi ya maendeleo kuliko Tanzania hasa katika miundo mbinu (barabara, bandari, viwanja vya ndege), elimu, afya, nishati, ITC.
 

Leo Mawaziri wa Fedha wa Nchi za Afrika ya Mashariki wataanza kusoma Bajeti za serikali zao kwa mwaka wa Fedha wa 2012/2013.

Waziri wa Fedha wa Tanzania Dr. William Mgimwa atasoma bajeti ya Tanzania kwa mwaka 2012/2013 leo Mjini Dodoma ambayo ni SH. 15 TRILLION, hii ni takriban Dolari za Kimarekani 9.43 Billion.

Bajeti ya Tanzania ya mwaka huu itakuwa na vipaombele saba, Vipao mbele vitano kati ya hivyo ni

1. Deni la Taifa ( Shs. 2.7 Trillion)

2.Wizara ya Ujenzi (Shs. 1 Trillion)

3.Wizara ya Ulinzi ( Shs. 920 Billion)

4.Wizara ya Elimu ( Shs. 721 Billion)

5.Wizara ya Nishati na Madini ( Shs. 641 Billion)


Kwa upande wa Kenya, Bajeti ya mwaka 2012/2013 ambayo itasomwa na Waziri wa Fedha wa nchi hiyo Njeru Githae ni Shilingi za Kenya 1.4 Trillion, ambazo ni takriban Dolari za Kimarekani 16.87 Billion.

Kipaombele kikubwa katika bajeti ya Kenya ya mwaka huu ni Wizara ya Ulinzi na Uslama, ambayo imepangiwa Shilingi za KENYA 13.4 Billion.

Tofauti ya Bajeti ya Kenya ( USD 16.87 BILLION) na ile ya Tanzania ( USD 9.43 BILLION) ni Dolari za Kimarekani 7.43 Billion.

Hii ina maana ya kuwa Bajeti ya Kenya inazidi ile ya Tanzania kwa
44%.

Nini implications ya tofauti hii kubwa katika masuala ya

1. Kuongeza pato la ndani la taifa (G.D.P)

2. Kupunguza mfumuko wa bei ( Inflation)

3. Kuongeza Ajira Nchini ( Job Creation)

4. Kupunguza Umaskini na Kuongeza Ustawi wa Jamii ( Poverty Eradication and Social Welfare Improvement)

5. Kupunguza tofauti za kipato miongoni mwa matabaka mbali mbali nchini (Income Gap Reduction).

6. Kuongeza ushindani wa Makampuni ya Tanzania katika soko la Afrika Mashariki.


Kumbe ni bora hata bajeti ya Tz kwani ya kenya yote inamalizia kwenye vita. Na believe me mkuu , vita inakula hela balaa, USA wenyenye bajeti yao ina shake sana kwa shauri ya vita
 
Umetawaliwa na chuki ya udini kwasababu jamaa zako wa Uamsho huko Somalia wanabondwa na Kenya.

Kumbe ni bora hata bajeti ya Tz kwani ya kenya yote inamalizia kwenye vita. Na believe me mkuu , vita inakula hela balaa, USA wenyenye bajeti yao ina shake sana kwa shauri ya vita
 
Kuna takwimu moja ya msingi sana umeisahau ambayo ingekusaida kufanya ulinganifu yakinifu. Mara nyingi ukitaka kulinganisha bajeti za chi mbali mbali inakubidi kwanza uziwianishe na pato la Taifa la nchi husika- Budget as a share of GDP.
 
According to Census of 2011 Kenya Population is 41 million, and according to Census of 2002, Tanzania population is nearly 40 million, so the difference is minimal.
Khaaa....Bora hata usinge andika! Tofauti ya miaka tisa halafu unasema tofauti ni ndogo?
 
Hapo penye nyekundu ulitaka kusema nini? Hisabati kama nimezisahau kidogo vile!

Sio kosa lako ni kosa la serikali ya ccm kuanzisha secondary za kata zisizokuwa na walimu; kukua kwa geometric rate kwa kiswahili chepesi unachoweza kuelewa ni kukua kwa kasi kubwa!!Mfano nambari zifuatazo zinakua kwa geometric progression [ 1 2 4 8 16 32] Nadhani umeelewa na kama hujaelewa then you need some supernatural intervention!!
 
Hii ndo Tzii bwana! Hata mambo sensitive kama budget nayo wamechakachua!! Kwa swala la kukua uchumi dhidi ya Kenya, Tza wataisoma namba!! Kenya wamewasha moto, tazama wanavyowekeza Tz, sio mabank tu, s'market za NAKUMAT zimefika Tz. Nilipita Moshi, nimeona kwa macho yangu, it's shame! Bajeti yetu asilimia 70 anasa, 30% ndo maendeleo. Kwa staili hii hata mrukeruke hamtaenda mahali coz mnatumia kuliko mapato yenu.
 
Kenya mpaka wazee wanalipwa sasa kwa mwezi ksh 2000/= nyinyi wabongo hamwezi! Hata yatima wametengewa hela zao!.
 
Uganda ni 10bill!
Mbaya zaidi Tz pop tumewazidi kenya na nchi yetu ni kubwa so ata buajeti ilibidi iwe kama 20trillion ili kuweza fanikisha mambo ya msingi hasa kilimo ambacho mwaka huu wametenga ela pungufu ya mwaka uliopita
 
Sio kosa lako ni kosa la serikali ya ccm kuanzisha secondary za kata zisizokuwa na walimu; kukua kwa geometric rate kwa kiswahili chepesi unachoweza kuelewa ni kukua kwa kasi kubwa!!Mfano nambari zifuatazo zinakua kwa geometric progression [ 1 2 4 8 16 32] Nadhani umeelewa na kama hujaelewa then you need some supernatural intervention!!

Asante kwa kunielewesha. Bahati mbaya nilisoma kabla ya kuanzishwa kwa shule za kata, ila kama sasa nimekuwa msahaulifi. Hivi na zile hesabu za pai, hakuna waalimu wa kizufundisha pia, manake hizo za geometriki naona ni kali zaidi kwenye hizi shule za kata sijui kama watazinyaka.
 
Uchumi wao unaruhusu bajeti yao, maana wanaimudu kwa takriban 96%. Uchumi i.e. bajeti ya Tz unategemea wafadhili 60%. Ingawa binafsi zitaki kusoma chochote ktk hizo bajeti maana hakuna nidhamu ya matumizi na bajeti zimekuwa tu ni kama maigizo fulani.

Ufisadi kwa kwenda mbele, umaskini na mfumuko wa bei ndio maisha hapa AM
 
Kenya wanategemea mapato ya ndani zaidi wana viwanda vingi na maendeleo yanaonekana sio kwetu huku. Dola kenya ni takribani 85 ksh sisi je 1600tsh. Hela yao inathamani kubwa sana.
 
Back
Top Bottom