Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,181
- 24,671
Nishachoka technically nasubiri ku-set tarehe ya kulipuka!Bado hujachoka kumbe.
Nishachoka technically nasubiri ku-set tarehe ya kulipuka!Bado hujachoka kumbe.
Usikate tamaa mkuu, what tz needs is (opposition parties to merge) and form a Grand Coalition kama ile ya NARC, fukuza CCM kama KANU 😂Nishachoka technically nasubiri ku-set tarehe ya kulipuka!
Kwanza hatuna Katiba Mpya kama yenu ambayo ni transformative!Usikate tamaa mkuu, what tz needs is (opposition parties to merge) and form a Grand Coalition kama ile ya NARC, fukuza CCM kama KANU 😂
Usikate tamaa, Kama umefunguka macho basi wengine pia wamefunguka so it is just a matter of time before real change takes place.Kwanza hatuna Katiba Mpya kama yenu ambayo ni transformative!
Tuna katiba ya kipumbavu sana aliyotuachia mkoloni,just imagine!
Hatuna tume ya uchaguzi huru kama ilivyo IEBC!Tume yetu anaichagua rais kwa mikono yake halafu anasema ole wenu mumtangaze opposition leader kua ni mshindi,just imagine!
Hatuna tume huru ya mahakama kama yenu...Huku kwetu rais anachagua majaji kwa mikono yake,na anasema jaji lazima atoe hukumu kinyume na wishes zake aone,just imagine that!
Hakuna bunge huru kama lenu,letu linawajibika kwa rais,akisema nyamaza,wananyamaza wote,just imagine!
Tupo kifungoni aisee hatuna pa kwenda...nataka nikate tiketi niende Syria nikapumzike!
Kwanza hatuna Katiba Mpya kama yenu ambayo ni transformative!
Tuna katiba ya kipumbavu sana aliyotuachia mkoloni,just imagine!
Hatuna tume ya uchaguzi huru kama ilivyo IEBC!Tume yetu anaichagua rais kwa mikono yake halafu anasema ole wenu mumtangaze opposition leader kua ni mshindi,just imagine!
Hatuna tume huru ya mahakama kama yenu...Huku kwetu rais anachagua majaji kwa mikono yake,na anasema jaji lazima atoe hukumu kinyume na wishes zake aone,just imagine that!
Hakuna bunge huru kama lenu,letu linawajibika kwa rais,akisema nyamaza,wananyamaza wote,just imagine!
Tupo kifungoni aisee hatuna pa kwenda...nataka nikate tiketi niende Syria nikapumzike!
HahahahaaaaAhaaa haaa haaa
sa exposure nako ni ugonjwa. For sure you view Kenya as our benchmark? Do you know how rotten is Kenya?
Hahahahaaaa
Wote tumeoza,ila sisi tumeoza zaidi!
Tanzania ndio benchmark?Bwahahaaaa
Heri tuwaige yote waliyotupita....nothing wrong with that!
Au wewe bado upo kwenye denial?...
Wewe unakua wa pili darasani,unakataa hakuna wa kwanza....such a desease aisee!
Patriotic to who?CCM?Yaani kujifanisha na Kenya mfu ndo shida inapoanzia. Na hapo ndiyo ninapoanza kukutilia shaka kuwa are you really patriotic or just mchumia tumbo. Ingekuwa serious ungetaja NCHI kama Botswana, Namibia na kidogo Angola.
Hahaha! Watakuambia kwamba wewe sio mzalendo. Cha kushangaza zaidi ni kwamba hawa watu wanaamini kwamba wakenya wana chuki dhidi yao. Eti Kenya inawahujumu kwenye kila suala. Hizi paranoia ndio zinawamaliza. Kenya sasa hivi tunapambana na hali yetu. Kutoka kwa wananchi hadi kwa wanasheria hutasikia yeyote akiitaja Tz. Kwenye media za Kenya hata mwezi utapita kabla ya Tz kutajwa. Watanzania ambao wapo Kenya wanaishi bila ya kubaguliwa au kudhulumiwa na yeyote yule.Patriotic to who?CCM?
Fvck outta here!
Patriotism inayofanya niseme uongo?Inayofanya nimchukie alienipita?
Inayonifanya nimchukue mwanadamu mwingine sababu tu kazaliwa kipande cha ardhi tofauti na changu?
Fvck outta here!
Na hiyo Lagos yako iliyo na uchumi mkubwa mbona haikaliki maisha ni mbovu waNigeria wengi wanakimbilia Kenya kuishi?mbona ipo hivyo muda tu ni kama vile uchumi wa lagos ulivyo mkubwa kuliko wa Kenya kama nchi.
Hii bajeti ya Nigeria imepitwa na Kenya ndio hufanya nione kwamba hiyo GDP yao kubwa ya Nigeria is cooked .Either hivyo ama they're lazy and ill equipped in tax collections.Hahaha! Watakuambia kwamba wewe sio mzalendo. Cha kushangaza zaidi ni kwamba hawa watu wanaamini kwamba wakenya wana chuki dhidi yao. Eti Kenya inawahujumu kwenye kila suala. Hizi paranoia ndio zinawamaliza. Kenya sasa hivi tunapambana na hali yetu. Kutoka kwa wananchi hadi kwa wanasheria hutasikia yeyote akiitaja Tz. Kwenye media za Kenya hata mwezi utapita kabla ya Tz kutajwa. Watanzania ambao wapo Kenya wanaishi bila ya kubaguliwa au kudhulumiwa na yeyote yule.
toka mmumepata katiba mpya imekusaidia nini na ufisadi hapo kenya!Usikate tamaa, Kama umefunguka macho basi wengine pia wamefunguka so it is just a matter of time before real change takes place.
Ugatuzi umeleta maendeleo mashinani yani sihitaji kuwa Nairobi kufurahia matunda ya maendeleo ama kuzipata huduma za Serikali. You're hayo ninayapata kwa County yangu kinyume na hapo awali ilipokuwa inanibidi kusafiri Hadi mji mkuu kupokea huduma ambazo kwa Sasa ni za kawaida mno.toka mmumepata katiba mpya imekusaidia nini na ufisadi hapo kenya!
Patriotic to who?CCM?
Fvck outta here!
Patriotism inayofanya niseme uongo?Inayofanya nimchukie alienipita?
Inayonifanya nimchukue mwanadamu mwingine sababu tu kazaliwa kipande cha ardhi tofauti na changu?
Fvck outta here!