Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Hapo kwenye kupandisha kiwango cha PAYE ndipo inaonyesha ni kiasi gani hawa wataalamu wamewachoka wafanyakazi na walivyoishiwa ubunifu.
Nchi hii inaendeshwa kwa kodi za wafanyakazi pamoja na wala kilaji.
Huu utakuwa ni mwaka wa maumivu makali zaidi kuliko hata mwaka unaomalizika.
Shame on you Mgimwa, shame on you ccm.
Nchi hii inaendeshwa kwa kodi za wafanyakazi pamoja na wala kilaji.
Huu utakuwa ni mwaka wa maumivu makali zaidi kuliko hata mwaka unaomalizika.
Shame on you Mgimwa, shame on you ccm.