Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
jamani nimekuwa nikitizama bongo star search siku hii ya leo nikitumaini kumuona yule mzungu....lakini katika top 20 hayupo na alionyesha kuwa yeye ni mkali....kwa anayejua mzungu yuko wapi anijulishe tafadhali......nimependa washiriki walivyovyaa lakini tatizo lipo kwa washiriki wa kiume....hivi wamelazimishwa kuvaa mashati ya mikono mirefu?....na pia nywele zinaonekana kumsumbua madam....vipi alilazimishwa kusuka hizo?.....:spider: