japo umeweka thread jukwaa silo kwa leo tunapotezea......lakini hata mimi nimekwazika....huyu master jay hovyo sana....pumbaf.....anasema watanzania ni washamba wanashangaa mzungu kuimba kiswahili.....hili jamaa hovyo kweli
Kwanza Mj, na Madam rita wamelewa
jami hv madame rita amelewa?
jami hv madame rita amelewa?