BSC with education vs diploma in nursing and mildwife

Sawa manesi jitahidini na diploma zenu ,si unajivunia kuwa nesi
Alisema kwamba mishahara huzingatia ngazi ya elimu, ambapo ngazi ya astashahada kwa upande wa Serikali Kuu ni Sh 390,000, kada ya walimu Sh 419,000, wauguzi Sh 432,000 na madaktari ni Sh 432,000.

Kwa upande wa stashahada, Serikali Kuu ni Sh 525,000, walimu 530,000 wauguzi 680,000 na madaktari ni Sh 680,000.

Kairuki alisema ngazi ya shahada kwa upande wa Serikali Kuu ni Sh 710,000, walimu 716,000, wauguzi 980,000 na madaktari ni Sh 1,480,000.

Pamoja na hayo, alisema Serikali inaendelea na utafiti wa tathmini ya kazi na itakapokamilika, itapanga upya mishahara na motisha kwa watumishi wote wa umma ikiwamo sekta hiyo.

“Kati ya mwaka 2010/11 hadi mwaka 2016/17, vianzia vya mishahara kwa kada za wauguzi vimeongezeka kutoka shilingi 614,000 hadi 980,000 kwa mwezi kwa wahitimu wa shahada.
 
Sawa manesi jitahidini na diploma zenu ,si unajivunia kuwa nesi
Hapa hakuna habari ya kujivunia , swala ni kwamba hakuna uwiano mzuri wa Mishahara.
Kuna baadhi ya Degree hizi zisizo za Sayansi hufanana Mishahara na mambo ya Afya.
Nimekuwekea mfano tu mdogo.

Ukiwa mtu wa Afya ukaamua kujishighulisha na kutuliza kichwa chako ukianza na Nurse alijiongeza kubeba kozi mfano ya usingizi , Daktari aliyeamua kuchukua masomo ya ziada ya Ultrasonography na mengineyo.

Nilikuwa pahala Daktari MMED Orthopaedic per clinic anatoka na 450,000 mpaka 600,000 hii hutegemea na wingi wa watu.
Kuna Madaktari hapo DSM wanafanya kupisha tu kwenye Poly clinic.Wapo wachache na wanahitajika

Nurses hawa wa Usingizi ,Radiographers and Radiologist machalii wanasumbua sana mitaani kwa walioona mbali zaidi na kujishughulisha.

Sekta ya afya kwa Tanzania kama unaweka uwekezaji na utulivu bado inaleta pesa nzuri tu,
 
Leo naona kuna ligi ya nani zaidi kati ya manesi na walimu....

Sisi mafundi wa VETA acha tuendelee kushika spana huku gereji
 
Hapa hakuna habari ya kujivunia , swala ni kwamba hakuna uwiano mzuri wa Mishahara.
Kuna baadhi ya Degree hizi zisizo za Sayansi hufanana Mishahara na mambo ya Afya.
Nimekuwekea mfano tu mdogo.

Ukiwa mtu wa Afya ukaamua kujishighulisha na kutuliza kichwa chako ukianza na Nurse alijiongeza kubeba kozi mfano ya usingizi , Daktari aliyeamua kuchukua masomo ya ziada ya Ultrasonography na mengineyo.

Nilikuwa pahala Daktari MMED Orthopaedic per clinic anatoka na 450,000 mpaka 600,000 hii hutegemea na wingi wa watu.
Kuna Madaktari hapo DSM wanafanya kupisha tu kwenye Poly clinic.Wapo wachache na wanahitajika

Nurses hawa wa Usingizi ,Radiographers and Radiologist machalii wanasumbua sana mitaani kwa walioona mbali zaidi na kujishughulisha.

Sekta ya afya kwa Tanzania kama unaweka uwekezaji na utulivu bado inaleta pesa nzuri tu,
Manesi mnajitekenya na mnacheka wenyewe kila mtu ashikilie anachokiamini ila wew nesi mweny diploma huwez kumzid mwalim mweny degree never
 
Manesi mnajitekenya na mnacheka wenyewe kila mtu ashikilie anachokiamini ila wew nesi mweny diploma huwez kumzid mwalim mweny degree never
Nesi mwenye diploma anayefanya kazi AMREF na mwalimu mwenye digrii anayefundisha Mtambani Sekondari kule Mpitimbi???
 
Nesi mwenye diploma anayefanya kazi AMREF na mwalimu mwenye digrii anayefundisha Mtambani Sekondari kule Mpitimbi???
Mwalimu mwenye degree anaefanya kazi necta na nesi anafanya kazi ikungulyabashashi health center ?
 
Mwalimu mwenye degree anaefanya kazi necta na nesi anafanya kazi ikungulyabashashi health center ?
Umeonae? Hapa vijana wanajadili mambo ya ajabu.... hawazingatii mwajiri ni nani...

Kijana wa kidato cha nne anayeendesha kreni bandarini, analipwa zaidi ya mara mbili ya mshahara wa mwalimu mwenye digrii...

Ukiwaambia watabisha...
 
Ndugu mwalimu mwenye degree huamini kuwa nesi wa Muhimbili au Mloganzila mwenye Diploma kakuzidi kipato? Nje ya mshahara wewe unapata hela ya kusimamia mtihani, sensa na uchaguzi.

Kama huamini kuzidiwa mshahara na mtu kama nesi ukiambiwa mwanajeshi aliyeishia form four akala four amekuzidi maslahi utaamini?

Ukiambiwa Dereva au mhudumu wa chai NSSF, TRA, PSPF, TANROADS n.k wamekuzidi mshahara utaamini?
Hao wa Muhimbili, mloganzila sijui BUGANDO na KCMC achana nao, Huko kupata gap sio mchezo kwa usawa huu kweli wana scale nzuri Ila Halmashauri ndio panawataka sana
 
uweezo ungekuwepo angeenda nursing . sasa duh mtihan.na pia ualim wa sayams nao kwa mtoto wa kike
 
Back
Top Bottom