Browser gani ni nyepesi inafaa kwa PC

zamani nilikuwa naiona Chrome lakini nilivyokuja kuwa nikioverload vitu vingi kwa wakati mmoja nilikuja kuona Chrome ni nzito nikajaribu Opera nikaona nafuu japo si kubwa sana.

Kwa kuwa naipenda Chrome nikaamua kuirudia. My take nikwamba difference zake ni ndogo mno kati ya Opera na Chrome labda ngoja nije nijaribu na Firefox nione.
 
BRAVE BROWSER
BRAVE.jpg
 
Internet Explorer ndio nyepesi, izo nyingine kubali ukatae ni 'nzito'

kadiri browser inavyokua na 'features nyingi/nzuri' ndivyo inavyolamba RAM(au ku hog cpu ) kwa wingi
Internet explorer pia ni nyepesi zaidi, sema imekuwa discontinued juzi kati, version mpya za win 10 zinazo kuja haitakuemo ndani.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom