Broke Kenya turns to donors for $1.22B to support it's war against Corona

joto la jiwe

JF-Expert Member
Sep 4, 2017
26,117
46,613
Broke Kenya now turns to donors for Sh122b : The Standard
Majirani wenye GDP ya kwenye makaratasi sasa hii ni aibu, yaani wao kila tatizo kwao wanalitumia kama fursa ya kuombaomba.

Hili tatizo la Corona ndio kwanza limeanza bado halijachanganya, tayari wanakopa pesa, je ilifikisha miezi miwili au mitatu na nchi ikiwa na Wagonjwa zaidi ya 1,000 mtafanyaje?.

Kenya hamjitegemei kabisa, kawaida ni vizuri nchi kuanza kwa kutumia pesa ya ndani kwanza hadi hali inapokuzidia ndio unaomba msaada, kwa kufanya hivyo ndio unaheshimika duniani.

Tanzania huwa tunaanza wenyewe kwa nguvu zetu, kama ni mikopo au misaada inakuja kutukuta mbele kwa mbele, tena pale tunapoona kuna umuhimu wa kuomba msaada au kuomba mkopo. Hii tabia yenu ya kuchukua mikopo hata kwa mambo ambayo mnayaweza, mnapoteza heshima yenu na nchi mnazidi kuiweka pabaya kwa madeni. Poleni sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kadri siku zinavyozidi unaendelea kuwa kichaa. Unakimbia kufungua nyuzi kabla ya kufanya uchunguzi. Pesa za kupambana na janga hili mbona CBK zilitoa?
Broke Kenya now turns to donors for Sh122b : The Standard
Majirani wenye GDP ya kwenye makaratasi sasa hii ni aibu, yaani wao kila tatizo kwao wanalitumia kama fursa ya kuombaomba.

Hili tatizo la Corona ndio kwanza limeanza bado halijachanganya, tayari wanakopa pesa, je ilifikisha miezi miwili au mitatu na nchi ikiwa na Wagonjwa zaidi ya 1,000 mtafanyaje?.

Kenya hamjitegemei kabisa, kawaida ni vizuri nchi kuanza kwa kutumia pesa ya ndani kwanza hadi hali inapokuzidia ndio unaomba msaada, kwa kufanya hivyo ndio unaheshimika duniani.

Tanzania huwa tunaanza wenyewe kwa nguvu zetu, kama ni mikopo au misaada inakuja kutukuta mbele kwa mbele, tena pale tunapoona kuna umuhimu wa kuomba msaada au kuomba mkopo. Hii tabia yenu ya kuchukua mikopo hata kwa mambo ambayo mnayaweza, mnapoteza heshima yenu na nchi mnazidi kuiweka pabaya kwa madeni. Poleni sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Capital FM Kenya: CBK releases Sh7.4bn to support fight against Coronavirus.
CBK releases Sh7.4bn to support fight against Coronavirus » Capital News
 
Kadri siku zinavyozidi unaendelea kuwa kichaa. Unakimbia kufungua nyuzi kabla ya kufanya uchunguzi. Pesa za kupambana na janga hili mbona CBK zilitoa?

Capital FM Kenya: CBK releases Sh7.4bn to support fight against Coronavirus.
CBK releases Sh7.4bn to support fight against Coronavirus » Capital News
Hahahaha,hahahaa, kwani hii article nimeiandika mimi?, hao ni wakenya wenzenu tena wahandishi wenu wa habari mnaowasifia kila siku kwamba ni mahiri na wanatumia Uhuru wa kujieleza, mimi ninatumia vyanzo vya habari vya Kenya, usilie wala kunilaumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha,hahahaa, kwani hii article nimeiandika mimi?, hao ni wakenya wenzenu tena wahandishi wenu wa habari mnaowasifia kila siku kwamba ni mahiri na wanatumia Uhuru wa kujieleza, mimi ninatumia vyanzo vya habari vya Kenya, usilie wala kunilaumu

Sent using Jamii Forums mobile app
Soma aya yako ya tatu. Rudia tena na tena. Utanielewa.
 
Wacha kuchagua vifungu vya kusoma, waneeleza vizuri Sana na mgawanyo wa pesa yote, mapambano dhidi ya Corona pia yamewekwa kuwa yatapata mgao wake. Hivi kwanini watumie neno "Broke Kenya? "

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli IQ ndogo jinsi wanavyokuambia. Nilidhani ni chuki tu.
Unajifunga na maneno yako mwenyewe kisa gear umebadili.
 
Ninarudia, lazima nchi au Mtu uwe na uwezo wa kujisimamia mwenyewe kwa muda Wakati unatafuta msaada, ninyi Kenya hamna "buffer" yoyote, kukitokea tatizo siku hiyo hiyo mnaanza kutembeza bakuli, na msaada ukiisha na ninyi hapohapo ndio mwisho wenu, hamuwezi kujisogeza hata hatua moja mbele, mnajidhalilisha na kupoteza hadhi na heshima ya nchi yenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
CBK releases Sh7.4bn to support fight against Coronavirus » Capital News
KENYATTA-NJOROGE-CORONA-CHEQUE.jpg
Hii itakuwa pesa ya kuwalipa wakulima wa Korosho au mbeberu deni lake?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom