BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
jf atutatui matatizo ya kifamilia kama yenu tena uache kuchezea na kudharau jukwa ahili malizana na ndugu zako atuitaji hata kujua umwamwaga ujammwaga ..ukioa njoo tukufunde hayo ndiomambo tunasaidia ahumu mwisho utatanza kutuandikia jamani nimepigwa na mama yangu mzazi...then tukusaidieje???
hapo na wewe UMEROPOKA tu...vyote ulivyoandika sio kweli...unaelewa maana ya MAHUSIANO??
mkosoe kwa lingine kama lipo mkuu...