Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 1,694
- 3,982
Ametuachia toto Jinga sana. Tumelikuza limefika miaka 30 linataka oa. Tunaliuza umejipanga una Tsh ngapi. Linasema halina hata shillingi. Bwege kabisa fala, zumbukuku, topolo kabisa.
Tunaliambia sasa wewe unatakaje kuoa huna kitu. Nenda kajipange linalia kuwa angekuwepo baba yake angeliozesha. So linapata taabu sababu baba yake hayupo. Kilaza, kiazi, kimburukutu, zebwa kabisa.
Linashinda tu kula chips mayai na kujaza kitambi huku limefuga ndevu kama beberu. Halihangaiki kwa lolote. Na kumbe linapewa michango na wenzie linakula. Tunashukuru tu nyumba liliachiwa na baba yake.
Ukilishauri tu jambo ambalo ni la kukaza linaangua kilio kuwa kama angekuwepo baba.... Mimi nawaambia ndugu tuachaneni nalo wananambia watu wataona tunamwacha sababu bro amefariki.
Lilivyo jinga lina take hiyo advantage....bwege, bulldozer, fala, kichomi, kichefuchefu kabisa....
Sometime tunasema heri bro angebaki yeye.... aaaarrgh...tusameheane tu.
Tunaliambia sasa wewe unatakaje kuoa huna kitu. Nenda kajipange linalia kuwa angekuwepo baba yake angeliozesha. So linapata taabu sababu baba yake hayupo. Kilaza, kiazi, kimburukutu, zebwa kabisa.
Linashinda tu kula chips mayai na kujaza kitambi huku limefuga ndevu kama beberu. Halihangaiki kwa lolote. Na kumbe linapewa michango na wenzie linakula. Tunashukuru tu nyumba liliachiwa na baba yake.
Ukilishauri tu jambo ambalo ni la kukaza linaangua kilio kuwa kama angekuwepo baba.... Mimi nawaambia ndugu tuachaneni nalo wananambia watu wataona tunamwacha sababu bro amefariki.
Lilivyo jinga lina take hiyo advantage....bwege, bulldozer, fala, kichomi, kichefuchefu kabisa....
Sometime tunasema heri bro angebaki yeye.... aaaarrgh...tusameheane tu.