Perfectz
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 8,844
- 27,551
hahaaakesho watakula matogolwa/ maparage kwa uji.
hahaaakesho watakula matogolwa/ maparage kwa uji.
, kwenye hitimisho hapo mwishoni ndio ukweli ulipojichimbia kwa ndani.BRN YA KIKWETE YAZIKWA RASMI IKULU.........
Rais John Magufuli ameagana na wafanyakazi wa iliyokuwa Ofisi ya Rais, Ufuatiliaji wa Utekelezaji wa Miradi (President’s Delivery Bureau - PDB) ambao wamehamishiwa katika ofisi na taasisi nyingine za Serikali kwa ajili ya kuendelea na utumishi wa umma.
Wafanyakazi hawa ndio walikuwa wakisimamia utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (Big Results Now - BRN).
Rais Magufuli amekutana na wafanyakazi hao Ikulu Jijini Dar es Salaam ambapo amewashukuru kwa kazi nzuri waliyoifanya wakiwa PDB na amewataka kuendelea kulitumikia Taifa kwa juhudi na maarifa wakiwa katika ofisi nyingine walizopangiwa.
“Natambua kuwa nyie ni wafanyakazi wazuri wenye ujuzi na maarifa muhimu kwa ajili ya Taifa letu. Mmetoa mchango mkubwa mlipokuwa PDB nategemea mtaendelea hivyo na hata zaidi katika ofisi mbalimbali mlizopangiwa, mkachape kazi kwa kutanguliza maslahi ya Watanzania” amesema Rais Magufuli.
Yaani ameshindwa kuwaambia ukweli kuwa walikuwa wakila mamishahara ya bure...View attachment 531422
Mkataba na shetani ule hawautoi maana wakiutoa ndio mwisho wa CCMMimi nasubiri atakapolichukua lile dude "mwenge" akaliharibu na kupiga marufuku kabisa shughuli zote za mwenge. Nitafurahi sio mimi tu na karibu watanzania wote.
Hii ndio furaha yako? Hii laana waswahili haitawaacha muendelee kamweEbana watanyooka mwaka huu,jana watu wamekula chips yai kwa maji leo watu wanakunywa chai kavu kwa maji
BRN ulikuwa mpango halalishi wa upigaji, anayebisha haijui BRN ila aliwahi kusikia kuwa kuna BRN.Kaka vichwa una maana gani? Mimi nina jamaa zangu walikuwa pale kutokea balozi mbalimbali, upigaji ninaousemea hapa ni kwamba matumizi ya BRN hayaendani na kasi hii ya magu, ninavyofahamu hawa jamaa walikuwa benchi toka JPM aiengie sema leo ndio wametangaza kwenye Public.
Mkuu vipi keyboard yako mbovu au haina baadhi ya herufi?Asante, BRN Ndo Walileta G.P.A Ili Wanafunz Wafaulu Wengi, Ikapelekea Ndalichako Kujiudhuru. Magu Alipoingia Ikulu Akamteua Kuwa Wazir Na Leo BRN Anaifutilia Mbali. Taasis Zlizokuwepo Toka Awali Zilikua Zinatosha Kukabiliana Na Changamoto Za Elimu Tatizo Lilikua Uwajibikaji Tu, Lkn Co Kutengeneza Overheads Zczo Na Maana, Mara Wakaweka Wizara Kibao, Had Wizara Mbili Kudeal Na Ki2 Kimoja, Hayo Ni Matumiz Mabaya Ya Resources. Elimu Ya Kpnd Cha Mkapa Ilikua Nzr Nadhan Magu Anairudisha Taratibu, Hakuna Urahc Rahc Kwenye Elimu. BRN Wkt Bajet Ya Elimu Ndogo, Waalimu Wanadhurumiwa Staiki Zao, Shule Za Kata Hazna Waalimu Wala Maabara, Primary Hawana Madawati, Km Co Siasa Ni Nn? Kuna Vyuo Vingi Vya Kihuni Vkaanzshwa Ndalichako Kavfuta Baadhi. Awamu Ya Nne Iliingiza Siasa Sn Kwenye Elimu K2 Ambacho Ni Hatari. Me Namuelewa Sn Magufuli, Ndio Faida Ya Kusoma Sayansi Ni Mwendo Wa Kusolve Logics Na Organics Tu Lazma Equations Zibalance Hata Km Ni Complex Kiac Gan.
ilikua kitengo cha upigaji hiki mkuu. Ndiyo money laundering hiyo.BRN hawa hawakuwa wapigaji kweli?
Mimi nasubiri atakapolichukua lile dude "mwenge" akaliharibu na kupiga marufuku kabisa shughuli zote za mwenge. Nitafurahi sio mimi tu na karibu watanzania wote.