BRN kirefu chake au maana yake HALISI awamu hii

mshumbue-soi

JF-Expert Member
Aug 28, 2013
1,842
1,147
Wanajamvi

Nimeitafakari BRN na vipaumbele vyake na rasilimali watu viongozi kuchajiza matokeo makubwa

Kiuhalisia BRN mpaka sasa utasema inamuenzi mwalimu Nyerere kwa kuonyesha Udhaifu wa sasa.

Napata kirefu cha BRN kutokana na uhalisia wa mambo mpaka sasa

BRN ni Bora Rais Nyerere

Ni wakati huu ilipoanzishwa na vipaumbele vyake

-Bunge linaona Mawaziri na Mkuu wakifanya kazi chini ya kiwango mpaka wengine kukiri wamedumaa wakati enzi za mwalimu wakina Sokoine ulikuwa moto sasa BRN sio Bora Rais Nyerere kama hali ndo hii kwa watawala

-Elimu ikiwa kipaumbele cha BRN imekuja na dhana ya div 5 kama mwarobani pia wa kufeli kwa wanafunzi simkakati wa kutangaza Bora Rais Nyerere(BRN) ilikuwa ubora kuliko wingi usiokuwa na zero
-Nishati kauli ya Naibu waziri simba na hata Waziri na mgao si kusema BRN ni Bora Rais Nyerere kwa utendaji wa namna hiyo.

Wakati wa mwalimu zero hazikuwa nyingi sasa hatua haziiokoi inaporomoka kwa kasi sana si kumaanisha hata Zero ni BIG RESULT NOW

Naomba kuwasilisha mtazamo
 
haitusaidii sana kuangalia nyuma badala ya kusonga mbele, nadhani hiihii ya Better Resign Now inawatosha
 
Kilimo kwanza imezikwa na kaulimbiu hii ambayo naona inasifu awamu ya mwalimu hata kwenye sekta ya gas mwalimu alisema mpaka tujenge uwezo kinachofanyika sasa Bora Rais Nyerere (BRN)
 
Wanajamvi

Nimeitafakari BRN na vipaumbele vyake na rasilimali watu viongozi kuchajiza matokeo makubwa

Kiuhalisia BRN mpaka sasa utasema inamuenzi mwalimu Nyerere kwa kuonyesha Udhaifu wa sasa.

Napata kirefu cha BRN kutokana na uhalisia wa mambo mpaka sasa

BRN ni Bora Rais Nyerere

Ni wakati huu ilipoanzishwa na vipaumbele vyake

-Bunge linaona Mawaziri na Mkuu wakifanya kazi chini ya kiwango mpaka wengine kukiri wamedumaa wakati enzi za mwalimu wakina Sokoine ulikuwa moto sasa BRN sio Bora Rais Nyerere kama hali ndo hii kwa watawala

-Elimu ikiwa kipaumbele cha BRN imekuja na dhana ya div 5 kama mwarobani pia wa kufeli kwa wanafunzi simkakati wa kutangaza Bora Rais Nyerere(BRN) ilikuwa ubora kuliko wingi usiokuwa na zero
-Nishati kauli ya Naibu waziri simba na hata Waziri na mgao si kusema BRN ni Bora Rais Nyerere kwa utendaji wa namna hiyo.

Wakati wa mwalimu zero hazikuwa nyingi sasa hatua haziiokoi inaporomoka kwa kasi sana si kumaanisha hata Zero ni BIG RESULT NOW

Naomba kuwasilisha mtazamo
Umeishiwa mbinu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom