Umejitahidi kutumia busara zako zote lakini umekosea sana kwa hitimisho lako la kunipa vitisho mkuu! Mimi sitishwi asee na wala hamna popote nilipovunja JF rules, so kaa mbali na mimi!
Ni vizuri ukae kimya unapoona post zangu, Jiulize kwani ni wewe peke yako unaona post zangu hamna wengine? Mbona unakuwa na kiherehere?Hakuna anae kutisha tatizo ni moja tu Mkuu unajitoa ufahamu, forum hii inakutanisha watu wengi wenye uelewa tofauti sana ni vizuri unapotoa hoja zako usitoe kwa kubeza watu haipendezi, kikubwa ni heshima na kuvunja rules za JF hiyo si kazi yangu Mods wapo wanaona.
Hata wewe unatumia vitisho kuniambia kaa mbali na mimi, na kwa taarifa yako tu hata mimi sitishwi na watu wa kariba yenu, unachokiandika ndicho kilicho kichwani kwako unaonekana mweupe peeee!! Sasa hiyo ni dalili tosha kuwa uzito wako ni mdogo na ndiyo maana unashindwa kuielewa Forex kwa urahisi.
Nikupe pole kwa kuwa nishaijua busara yako kwa hiyo hili ndiyo jibu lako la mwisho na hautaniona nakujibu tena wewe maana watu hawataona tofauti kati yetu!!!!
Ulitoka saa ngapi mkuu. Mi nilitoka offtiming nilifika dola 60 nikaambulia 20 baada ya kuona graph inazidi kushuka na Yellen anakaribia kuja.
For no reason
Mimi si msemaji wa The Million Team ,Ila nakushauri uwasiliane nao kwa namba ya secretary wao.Nahitaji hii training but nipo mkoani. utanisaidiaje?
Mkuu ka hili ni GRP naomba uniunge
Karibu JANGID PLAZA TMT [HASHTAG]#fornoreason[/HASHTAG] to acquire the most knowledgeWakuu habarini jamani,,nimekua nikikumbana na posts kuhusu forex trading ,na kwa mara ya kwanza nilipata kuisikia nikiwa form two mwalimu wetu wa maths alitudokezea ila kipindi kile sikuitilia maanani ila as time passed by pressure ikaongezeka.. nikaona its time na mimi nijitose kuingia kwenye hii business ila unfortunately sina knowledge sana about how it goes, im currently studying Bachelor of commerce in Accounting at the university of dar es salaam,, so generally about forex i have some ideas about it but i lack the knowledge particularly in the trading aspect... Naombeni mnipe mwanga au sources za mimi kuniwezesha kuimaster ndani ya miezi michache.. asanteni sana na mbarikiwe...
Mkuu naomba unifafanulie hapo kwenye deviation unaset nn hua sielewi ni nn unajaza hapoFor No Reason. TMT
Thank you,but next plz motivates us with free screen shot on how TRADES looks like in NANDEX.If ul never mindUpdates
Daily profit. Binary option EUR/USD on NADEX. Live account.
Thursday $1,000
Friday $2,100
Have a good weekend.
Mkuu wewe lakini dah sawa.Updates
Daily profit. Binary option EUR/USD on NADEX. Live account.
Thursday $1,000
Friday $2,100
Have a good weekend.
mkuu ampaka ujiunge na training ndio unaungwa na mentors.Mkuu ka hili ni GRP naomba uniunge
Tumia bitcoin njia nyepes piaKwa kiswahili bro, mi nipo tanganyika, sa inaniwia ngumu kupata huduma hzo zote.... Huku najua nmb, nbc, crdb na tpb... Cjawahigi ona tawi la exim au standchart