MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,472
- 8,692
Nimefanya Regstration nimefikia sehemu ya kulipia na nimelipa baada ya hapo naona kimya. Nikituma email hawajibu.
Kuna mwingine alisha kutana na tatizo kama langu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mwingine alisha kutana na tatizo kama langu?
Sent using Jamii Forums mobile app