Ndama dume
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 858
- 1,480
Wanajamvi shikamon wote kwa moyo mkunjufu.
Naomba kwenda kwenye swali langu kama ambavyo kwenye heading linajieleza, naomba kuuliza anaejuwa taratibu za BRELA baada mtu kumaliza kazi yote ya usajili wa kampuni na kulipia Je! Huwa watumia mda gani kutoa cheti kwa mhusika?
Naomba kwenda kwenye swali langu kama ambavyo kwenye heading linajieleza, naomba kuuliza anaejuwa taratibu za BRELA baada mtu kumaliza kazi yote ya usajili wa kampuni na kulipia Je! Huwa watumia mda gani kutoa cheti kwa mhusika?