Burgor master
New Member
- Jul 22, 2018
- 1
- 2
Brela ni jipu kwa kweli au nyinyi mnaonaje?? Maana kufile annual return inaweza chukua hata 6weeks. Wemeweka manamba ya simu kwa website ýao Lakin hazipokewi, halafu ni kama hawakujipanga na reno teknohama au ndo walizoea rushwa huudumiwi mpaka utoe kitu, Sasa wanakwamishi hii online system. Hivi hamna sop, mtu toka alete mambi mpaka kujibiwa? ?