Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
ninachojua ni kuwa kama mtu anataka kusajili kampuni au biashara yake ni lazima kwanza afike BRELA ili wamsaidie kusach jina kama tayari lipo au la. Mchakato huu unahusisha kuandika barua ya maombi ya kutafutiwa jina la kampuni kati ya majina uliyopendekeza kwenye barua yako.
Tatizo upande wangu linakuja, ni vigezo vipi hawa jamaa hutumia? Unaweza kusach jina kwenye google ukalikuta. Jina hilohilo brela wakalipendekeza liwe jina la kampuni yako.
Wakati mwingine unakuta jina ulilopendekeza halipo google (google kwa sababu is the largest search engine) bado brela wanalikataa na halina kipingamizi chochote.
Tatizo upande wangu linakuja, ni vigezo vipi hawa jamaa hutumia? Unaweza kusach jina kwenye google ukalikuta. Jina hilohilo brela wakalipendekeza liwe jina la kampuni yako.
Wakati mwingine unakuta jina ulilopendekeza halipo google (google kwa sababu is the largest search engine) bado brela wanalikataa na halina kipingamizi chochote.